prof kaisha huyo
chadema ndo wanaume
ha1ha!ha!ha!ha! jamaa asema hakuna usalama wa ccm kuna usalama wa ccm
anadai 2005 waliibiwa...hii kali!! Anawachana REDET sasa
Unajua leo kama 2005 upinzani hususan CUF waliibiwa bara hawakupata kiti hata kimoja? pole yako utajua mwaka huu kama maharage ni mbegu na si mboga baada ya matokeo kutoka na ccm kuibuka kidedea.........
agggggghhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!RRRRR
hawa watu vipi tena!!! wanaonyesha kadi za ccm na chadema walizopata toka kwa wananchi waliovihama vyama vyao.
Wakati CCM ni Mwendo wa Bongo Flava, CUF Taarabu kwa sana.
Jamaa anaipiga nyundo CCM kwa songi la Taarabu, Mwingine kulinda kura kwa mashairi hadi raha jamani