Lupumba anataja kila eneo la ilani yao, to me this is wrong move sababu anashindwa kuelezea kwa makini...ndo maana CHADEMA wao wamekomaa na makazi na kudhibiti matumizi na kukomesha ufisadi..
Here we go..aneelezea vyanzo vya mapato sasa... itakuwa wanasoma JF tu hawa,,,, just kidding!!!