Kampeni ya kum-disqualify Diamond Platnumz BET Awards, tunahitaji mrejesho

Kampeni ya kum-disqualify Diamond Platnumz BET Awards, tunahitaji mrejesho

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,057
Reaction score
2,364
Habari wakuu,

Siku kadhaa zimepita tangu watu wanaojiita wanaharakati wa mitandao kuwaongoza wananchi kuandaa na kusaini petition yenye lengo la kumdisqualify Diamond platnumz kushiriki tuzo za BET kwa mwaka huu 2021.

Wanaharakati hao waliongoza huko Twitter chini ya Kigogo na Maria Sarungi,, Hapa JF pia wanaojiita wanaharakati walijitokeza kwa kufuatisha mkumbo wa hao watu wa Twitter pasipokujitambua.

Sasa sisi Watanzania wapenda vya kwetu na burudani, tunawataka hao waliosaini petition ikavunja rekodi watupatie mrejesho kwamba hali iko vipi huko.
 
Nilikua tu naskia kuna kampeni nikajua inafanywa na madogo wanaoshinda insta nikaja kuwa surprised eti kumbe maria sarungi na Lema nao wanafanya hii kampeni.

Aisee nimewadharau kuliko nilivyo wahi kumdharau mtu yeyote maana nilikuaga nawaheshimu sana nikijua wanaupeo mkubwa na wanajielewa kumbe viazi sana aisee. Au Lema maisha ya ukimbizi ndo yamemstress kiasi hiki?
 
Habari wakuu,

Siku kadhaa zimepita tangu watu wanaojiita wanaharakati wa mitandao kuwaongoza wananchi kuandaa na kusaini petition yenye lengo la kumdisqualify Diamond platnumz kushiriki tuzo za BET kwa mwaka huu 2021.

Wanaharakati hao waliongoza huko Twitter chini ya Kigogo na Maria Sarungi,, Hapa JF pia wanaojiita wanaharakati walijitokeza kwa kufuatisha mkumbo wa hao watu wa Twitter pasipokujitambua.

Sasa sisi Watanzania wapenda vya kwetu na burudani, tunawataka hao waliosaini petition ikavunja rekodi watupatie mrejesho kwamba hali iko vipi huko.
Sagia kunguni
 
Wanaharakati ambao wanatakiwa kusimamia demokrasia na haki za watu za kikatiba kuchagua viongozi wanaowataka, wanataka kum disqualify Diamond kwa sababu alitumia haki yake ya kikatiba kum support Magufuli?

What's the beef?

Kwa nini hawajataka kumu impeach Samia aliyekuwa mgombea mwenza wa Magufuli?
 
Wanaharakati ambao wanatakiwa kusimamia demokrasia na haki za watu za kikatiba kuchagua viongozi wanaowataka, wanataka kum disqualify Diamond kwa sababu alitumia haki yake ya kikatiba kum support Magufuli?

What's the beef?

Kwa nini hawajataka kumu impeach Samia aliyekuwa mgombea mwenza wa Magufuli?
Na hicho ndio kimefanya nimdharau sana huyo maria sarungi kumbe ana upeo mdogo kuliko beki 3 wangu naemuonaga bonge la kiaz
 
Na hicho ndio kimefanya nimdharau sana huyo maria sarungi kumbe ana upeo mdogo kuliko beki 3 wangu naemuonaga bonge la kiaz
Mimi si mshabiki wa Magufuli, si mshabiki wa Diamond.

Lakini, ni mshabiki wa haki za kikatiba za watu kuamua wanataka kiongozi gani bila kusumbuliwa.

Na nikiona mtu kachagua kiongozi nisiyemtaka mimi, hata kama simtaki huyo kiongozi, naheshimu haki yake ya kuchagua kiongozi anayemtaka.

Naweza kubishana naye kwa kusema hajachagua kiongozi mzuri, kupambana naye kwa hoja, lakini kutaka akose tuzo za kazini kwake ni ujinga.

Wanaharakati hawatakiwi kumsema Magufuli kwa udikteta, halafu wao wakataka kuweka udikteta wao wa kulazimisha watu wampende nani.
 
Kiukweli kwa akili hizi za kipuuzi za akina Lema, Lissu na Wapuuzi wengne ni wazi itachukua miaka dahali kwa CCM kutoka madarakani

Wanadhihirisha kwamba nchi yetu ina bahati mbaya ya kupata wapinzani njaa

Wanahubiri demokrasia ilhali wao wanalazimisha watu wafate matakwa yao
 
Habari wakuu,

Siku kadhaa zimepita tangu watu wanaojiita wanaharakati wa mitandao kuwaongoza wananchi kuandaa na kusaini petition yenye lengo la kumdisqualify Diamond platnumz kushiriki tuzo za BET kwa mwaka huu 2021.

Wanaharakati hao waliongoza huko Twitter chini ya Kigogo na Maria Sarungi,, Hapa JF pia wanaojiita wanaharakati walijitokeza kwa kufuatisha mkumbo wa hao watu wa Twitter pasipokujitambua.

Sasa sisi Watanzania wapenda vya kwetu na burudani, tunawataka hao waliosaini petition ikavunja rekodi watupatie mrejesho kwamba hali iko vipi huko.
🤣🤣🤣🤣🤣
Wako bize kumtoa youtube pia..
 
Nilikua tu naskia kuna kampeni nikajua inafanywa na madogo wanaoshinda insta nikaja kuwa surprised eti kumbe maria sarungi na Lema nao wanafanya hii kampeni.

Aisee nimewadharau kuliko nilivyo wahi kumdharau mtu yeyote maana nilikuaga nawaheshimu sana nikijua wanaupeo mkubwa na wanajielewa kumbe viazi sana aisee. Au Lema maisha ya ukimbizi ndo yamemstress kiasi hiki?
Na kamanda lissu pia
 
Back
Top Bottom