Kampeni ya kum-disqualify Diamond Platnumz BET Awards, tunahitaji mrejesho

Na hicho ndio kimefanya nimdharau sana huyo maria sarungi kumbe ana upeo mdogo kuliko beki 3 wangu naemuonaga bonge la kiaz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu huyu binti wa prof wa Rorya?
Elokamano, Nyasai
 
Jamaa wanabeba stress kali sana mioyoni mwao. Usiwaamini sana wanachosema.
 
Na hicho ndio kimefanya nimdharau sana huyo maria sarungi kumbe ana upeo mdogo kuliko beki 3 wangu naemuonaga bonge la kiaz

Amekosa nin mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mpe Heshima beki tatu, hapo kwako ajifunze Maisha akili zimwingie
Na hicho ndio kimefanya nimdharau sana huyo maria sarungi kumbe ana upeo mdogo kuliko beki 3 wangu naemuonaga bonge la kiaz
 
Wale ni watu wakudandia matukio,unaweza kukuta sasa hivi wamesharukia kwenye tukio lingine na wamesahau kabisa kua walikua na kampeni ya kumdisqualify Diamond kwenye BET award.
Teuzi za wakuu wa wilaya zimewagawa makundi, ngoja upepo huo upite kwanza
 
Inabidi Sarungi atoe Kwanza mrejesho wa "The Hague" kabla ya huu wa Diamond.
 
Umeandika point sn hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…