Kwa mawazo yangu hii ni 'concoction' tuu, haina ukweli wowote.
Siungi mkono kampeni yoyote ya kumchafua Mh. Mengi.
Mengi ni mwema, anasaidia sana watu wenye shida mbalimbali na taasisi za kijamii zikiwemo zile za walemavu.
Ametoa ajira na mishahara minono kwa maelfu ya waTanzania kupitia familia yake IPP.
Sasa ameanzisha kamtindo ka kuwafadhili wabunge wote wa CCM walio mstari wa mbele kwenye vita dhidi ya ufisadi.
Nikiendelea kuorodhesha mema yote ya Mengi, hata JF yote haitoshi. Haya yote ni upande mmoja wa shilingi ambao ndio huwa unamulikwa kwa kupata priority media covarage, kwa kuimbiwa nyimbo za sifa na mapambio.
Kwa vile Mengi ni binadamu na sio malaika, lazima na yeye huwa anafanya makosa ambayo hayamulikwi. Wako watu wamepata manyanyaso ambayo hayaeleziki, toka kwa huyu mheshimiwa. Kuna michezo michafu anaifanya ambayo haizungumziki ila tuu ile anayochezewa yeye.
Mengi ni mdhalilishaji wa kiaina. Zile picha kama za harusi, hazikuleak kwenye media, ni posed photos zilizopigwa kwa madhumuni fulani ya kuwadhalilisha watu fulani ili aonekane kidume.
Wako watu wengi wenye mahusiano ya nje ya ndoa, tabia ya mhe. Huyu kufanya mambo hadharani tangu enzi za Madam Bongo Star Search ni kumdhalilisha mkewe ni hivyo kutia mashaka kuhusu his motives behind.
Kwa watu wenye bahati ya kuposses 'esp' na kumwangalia Mengi kwa jicho la 'the sixth sense' one can see some evil deep inside his smilling eyes. Hii ni kwa kutumia 'intuition' ambayo hakuna anayethubutu kusema ni nini haswa because its can not be explained.
Kwa kutumia 'law of the karma', utafika wakati hizi painted colors za Mhe. Mengi, zitafade away slowly with time, and 'the true colors' zitakuwa visible with naked eyes. Its only time that will tell.
'I fear the Greeks, especially when they bring gifts'.