Kampeni ya kusafisha jiji la Dar es Salaam

Mpaka sasa kilimo ndicho chenye faida kuliko shughuli yeyote hapa Tanzania.
Nawashangaa hawa watu wanaongangania kukaa mjini kuchuuza vibidhaa kwenye masoko mabaya kama zizi la ng'ombe.
 
Mpaka sasa kilimo ndicho chenye faida kuliko shughuli yeyote hapa Tanzania.
Nawashangaa hawa watu wanaongangania kukaa mjini kuchuuza vibidhaa kwenye masoko mabaya kama zizi la ng'ombe.
... wewe mishe zako wapi Wordsworth?
 
Machinga complex bado halija jaa
 
Moto WA michongo huo maana mchana unaona aibu kuwaka sijawahi kuona ukiwaka mchana
 
@sang'udi Njoo huku Kamanda
Hangaya anazidi kuiteketeza Sukuma Gang
 
Pale waliyopata hasara ni wafanya biashara
Ila ile mirunda na mabati siyo issue

Ova
 
Wamachinga warudi Vijijini wajikite na Kilimo.
Kiliimo ukisikie tu. Ndugu yangu ameweka pesa yake ya kustaafu huko mvua Hakuna Marvuno yameungua yote. Sasa huko ndio mnatuelekeza KUTUMALIZIA HUKO. Hata cha umwagiliaji ka kutegemea Maji ya mito .ni kazi bure . Tushukuru bwawa la steigler litawapatia watut walimao upande wa chini yake uhakika wa maji mud wote kwa kilimo cha umwagiliaji.
 
Shule za sekondari ziliungua moja baada ya nyingine humu JF mlikaa kimya kama vile hakuna kilichotokea, na hili kaeni kimya kwanza hamlipi kodi wala hamyasafishi masoko, uchafu ukizidi husababisha mlipuko wa moto.
 
Asante Kwa kutuletea shairi mujarab!

Alichosema baba ni kweli. Leo hii tu nimesoma kuwa huko Kenya, mti mmoja wa Avacado huzalisha matunda yenye thamani kama $650 kwa mwaka. Avacado zinalindwa usiku na sungusungu!
 
Kwahiyo unafikiri solution ni Nchi nzima kuja Dar kuchuuza?
 
Asante Kwa kutuletea shairi mujarab!

Alichosema baba ni kweli. Leo hii tu nimesoma kuwa huko Kenya, mti mmoja wa Avacado huzalisha matunda yenye thamani kama $650 kwa mwaka. Avacado zinalindwa usiku na sungusungu!
... yap; vijana na nguvu zao waache uvivu wa kukaa mabarabarani bila kazi wakati mapori yamejaa tele. Unakuta likijana barubaru eti kinachomweka mjini ni kuendesha bajaji au bodaboda au kuchuuza karanga barabarani na kwenye mabaa! Dah!
 
Mpaka sasa kilimo ndicho chenye faida kuliko shughuli yeyote hapa Tanzania.
Nawashangaa hawa watu wanaongangania kukaa mjini kuchuuza vibidhaa kwenye masoko mabaya kama zizi la ng'ombe.
Mkuu hlo shairi Sina uhakika Kama ulilisoma darasan au umrkutana nalo jf, ila linamaudhui zaidi ya hicho ulichokiandika, kwa ufupi tu, hao watt walilima na kupata mazao waliyauza wapi?? Walipataje yumba za matofari?? Hvyo vifaa walivipata wapi?? Walikuwa na maisha Bora je hayo maisha Bora waliayapataje??

Huenda hujaelewa ngoja nifafanue kidg, kilimo Ni uti wa mgogo wa taifa letu, isipokuwa haujawekewa mkazo kwenye bajet za kiserikali, hebu angalia benk za kilimo zote zipo mjin na pesa zake kuzipata kunamlolongo wa kudondoka mtu, Sasa Hy mkulima Kama anahitaji hicho kilimo Cha kubadili kabisa maisha yake lazima ajiweke kwenye kilimo Cha umwagiliaji, Sasa twende Sasa hao maafisa ugani wapo?! Au nao wamekuwa bank wanakaa mjin wanakwenda vijijin nakurud mjin jion?[emoji15][emoji15]

Changamoto ya kilimo Ni kubwa mno na imefanywa makusudi na watunga sera za nchi kwa kuizingazinaga Sana, yaan njia ya kufanikiwa kupitia kilimo Ni kwa mazao yenyewe na wanaofaidika si wakulima ila wale wanaofanya biashara hyo, ila mkulima anaendelea kuwa chini tu
 
Baada ya kuungua la karume, hayo mengine yaliyobaki watu watafukuzwa kwa nguvu kwa kigezo cha kuboresha miundombinu ili na yenyewe yasije yakaungua usiku.
Huo ndio utakuwa mwisho wa mpango mkakatu. Stay tuned ndugu wamachinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…