Kampeni ya kutunza uume

Hii makala kila ninakoenda ninaikuta..........
 
Duh!tunakaa nayo tu MIPINI bila kujua ulinzi wake!yote kwa yote ila hilo la umri sidhani kama linastahili kuwa katika orodha ya maadui coz halikwepeki unabaki kusikia wazee wanasema enzi zangu mie so la umri limekaa kimajuto.
Haha.wazee nuksi...Ila uzee mbaya,wazee vijana wanatumia visisimuzi
 
Haha.wazee nuksi...Ila uzee mbaya,wazee vijana wanatumia visisimuzi
Yaah!na hizo viagra zinawarestisha in peace kwa haraka sana coz msukumo wa damu unakuwa mkubwa wengi wanafia vifuani kwa vidada hawataki wazee wenzao wana msemo wao"gari mbovu inavutwa na gari nzima".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…