Kampeni ya rudisha kadi za CCM fukuza DC inaratibiwa ndani au nje ya chama?

Kampeni ya rudisha kadi za CCM fukuza DC inaratibiwa ndani au nje ya chama?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Huduma zimekwama kwenye halmashauri, wenyeviti wa vijiji viongozi wa kata hadi wilaya wapo ofisini hakuna anayekwenda kutatua kero za wananchi. Viongozi wengi wa vijiji awakuchaguliwa na wananchi bali walipitishwa kinyemela 2019. Leo hii badala yakuhudumia wananch wanajihudumia.

Hali hiyo pia ipo kwa wabunge, most of wabunge wana miaka mitatu sasa hakuna anayekanyaga jimboni kwani wanajua 2025 watapelekwa watu watakaoonekana wanafaa na viongozi. Wale wote waliopewa chance na mzee JPM siku zao zimehesabika

Kukosekana kwa accountability kumepelekea wananchi kurejesha kadi za chama tawala mbele ya wakataliwa.je safari hii iliyoanzia Mtwara inaelekea Tanga inaratibiwa na wanaotaka madaraka ndani ya chama au inaratibiwa na wapinzani?
 
Huduma zimekwama kwenye halmashauri, wenyeviti wa vijiji viongozi wa kata hadi wilaya wapo ofisini hakuna anayekwenda kutatua kero za wananchi. Viongozi wengi wa vijiji awakuchaguliwa na wananchi bali walipitishwa kinyemela 2019. Leo hii badala yakuhudumia wananch wanajihudumia.

Hali hiyo pia ipo kwa wabunge, most of wabunge wana miaka mitatu sasa hakuna anayekanyaga jimboni kwani wanajua 2025 watapelekwa watu watakaoonekana wanafaa na viongozi. Wale wote waliopewa chance na mzee JPM siku zao zimehesabika

Kukosekana kwa accountability kumepelekea wananchi kurejesha kadi za chama tawala mbele ya wakataliwa.je safari hii iliyoanzia Mtwara inaelekea Tanga inaratibiwa na wanaotaka madaraka ndani ya chama au inaratibiwa na wapinzani?
Screenshots_2023-09-02-09-17-03.jpg
 
Huduma zimekwama kwenye halmashauri, wenyeviti wa vijiji viongozi wa kata hadi wilaya wapo ofisini hakuna anayekwenda kutatua kero za wananchi. Viongozi wengi wa vijiji awakuchaguliwa na wananchi bali walipitishwa kinyemela 2019. Leo hii badala yakuhudumia wananch wanajihudumia.

Hali hiyo pia ipo kwa wabunge, most of wabunge wana miaka mitatu sasa hakuna anayekanyaga jimboni kwani wanajua 2025 watapelekwa watu watakaoonekana wanafaa na viongozi. Wale wote waliopewa chance na mzee JPM siku zao zimehesabika

Kukosekana kwa accountability kumepelekea wananchi kurejesha kadi za chama tawala mbele ya wakataliwa.je safari hii iliyoanzia Mtwara inaelekea Tanga inaratibiwa na wanaotaka madaraka ndani ya chama au inaratibiwa na wapinzani?

Vuguvugu la kurudisha kadi za CCM? Je watatumbuliwa ma DC wangapi?
 
CCM iliiba kura na kuweka viongozi wasio na uwezo kuanzia serikali ya vijiji,mitaa udiwani hadi Bungeni
You really believe that? Is it you or was it your friend who was hollering about the Nyerere Dam? Or Mwendokasi? Na SGR? Na Setengeti tiyari wamevuka malengo yao pre-covid? Huoni amani tuliyonayo? Huoni Mama wanamtukana wakiwa Rwanda lakini HUKO hawawezi kusubitu?

Na sasa tu aingia na DPWTz uone ubora wa bandarisalama? That you uongozi mbovu? Are you OK upstairs?
 
Mama atajuta kuwa rais

Lakini kwa ujumla ukiangalia vizuri huu uongozi wote kuanzia chini hadi juu hakuna aliyepo kwenye nafasi yake kihalali!
(Uchaguzi serikali za mitaa, wabunge na rais)
Magufuli ndo chanzo cha yote hayo na ninaamini hili viguvugu halipoi sasa hivi acha nijipe muda!
 
Back
Top Bottom