Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wananchi Mkoani Lindi wametakiwa kujitokeza kupata elimu ya msaada wa kisheria kupitia kampeni ya mama Samia Legal AID inayolenga kutatua changamoto za kisheria ambazo zinawakumba wananchi.
Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Zainab Telack,ambaye amewakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge wakati anazungumza na waandishi wa habari kuhusu kuanza kwa kampeni hiyo ya Msaada wa kisheria kwa siku 9 kuanzia februari 19,2025 katika halmashauri zote za mkuo wa Lindi.
Katika kampeni hiyo ambayo imeanzishwa kwa Nchi nzima Mkoa wa Lindi ukiwa umepata fursa hiyo itazinduliwa na Waziri Mkuu kasimu Majaliwa katika Wilaya Ruangwa na kuendelea kuzunguka wilaya zote huku huduma zote zikiwa ni bure.
Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Zainab Telack,ambaye amewakilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge wakati anazungumza na waandishi wa habari kuhusu kuanza kwa kampeni hiyo ya Msaada wa kisheria kwa siku 9 kuanzia februari 19,2025 katika halmashauri zote za mkuo wa Lindi.
Katika kampeni hiyo ambayo imeanzishwa kwa Nchi nzima Mkoa wa Lindi ukiwa umepata fursa hiyo itazinduliwa na Waziri Mkuu kasimu Majaliwa katika Wilaya Ruangwa na kuendelea kuzunguka wilaya zote huku huduma zote zikiwa ni bure.