Kampeni ya vijana kukataa ndoa ni matokeo ya kumtenga mtoto wa kiume katika malezi

Serikali itutambue Kataa Ndoa.
Nyinyi mpango uliopo ni kuwakusanya wote kuwatandika viboko 20 kila mmoja wenu kisha kuwaonesha mke wa kuoa na kuwasimamia muoe kwa bunduki kabisa.
Hamuwezi kukataa kuwaoa wana wa kike wa Tanzania nyi nani?
 
Uhalisia kuhusu ndoa ni huu : ndoa za zamani walikuwa wakifunga ndoa wakiwa wadogo ,ule mri wa balekhe ila kwa leo ili mtu awe tayari basi awe kamaliza chuo ,miaka 22-23 na kuendelea.
Sasa gap la kuanzia miaka 18 akiwa active kweny mapenzi mpaka akijamaliza chuo kashachoka ,mambo yote anayajua hamna kipya kwake.

Mwanamke anakuwa na wanaume wengi aliotembea nao ,hata bikra kashapoteza ..Ikitokea kijana ukaoa basi jiandae kwa matatizo.

Ndoa ilikuwa na maana watu kuingia mapema mno wanapofika umri wa kubalekhe tu .​
 
Nyinyi mpango uliopo ni kuwakusanya wote kuwatandika viboko 20 kila mmoja wenu kisha kuwaonesha mke wa kuoa na kuwasimamia muoe kwa bunduki kabisa.
Hamuwezi kukataa kuwaoa wana wa kike wa Tanzania nyi nani?
ni mwendo wa kukataa ndoa hatutaki stress ,naomba tupeni elimu zaidi ili tuwaelewe maana kila siku tunasikia ugomvi baina ya wanandoa sijui amenyimwa tendo la ndoa ,sijui mke amemcheat mumeo waziwazi na hii yote inapelekea magonjwa ya akili kwa sababu ya mbilinge zote kam stress na ugomvi usioishi ,njoeni na hoja itakayotulinda huko ndoani
 
Kwa mtazamo wako unadhani ipi ni njia sahihi ya kulea watoto, kama hamtaki ndoa
 
Mengi uliyoyasema ni kweli kabisa, lakini kuna mabinti siku hizi unamsikia kwa kujiamini kabisa na akiwa na akili timamu anasema yeye anataka kuzaa tu alee watoto wake,hataki kuolewa....... nadhani kwenye malezi bado kuna kitu hakiko sawa,baada ya miaka mitano ijayo naona mambo yatakuwa magumu zaidi
 
Tunalichukulia hili suala kiutani ila ukweli ni kwamba madogo hili litawatesa sana miaka 10 tu ijayo
 
Ukweli ni kwamba hizi kelele ni za humu Kwenye mitandao ya kijamii huku mtaani watu wanafunga ndoa kila siku.
Wanafunga ndoa ila baada ya siku chache wanakuwa awana ndoa tena ....sasa hivi ndoa tuna hesabu miaka 10 mkivuka hapo mkiwa ndani ya ndoa basi mnaweza kufika salama vingi nevyo ndoa nyingi zinavunjika ndani ya miaka 4
 
Kwa mtazamo wako unadhani ipi ni njia sahihi ya kulea watoto, kama hamtaki ndoa
jibuni hoja kwanza ninyi kam wazazi mnaotaka tuoe maana unakuta mtu anataka kuoa baada y kumpeleka msichana wa watu nyumbn wazazi wanamkataa so hapo unategemea nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…