yameshakuwa magumu mkuuMengi uliyoyasema ni kweli kabisa, lakini kuna mabinti siku hizi unamsikia kwa kujiamini kabisa na akiwa na akili timamu anasema yeye anataka kuzaa tu alee watoto wake,hataki kuolewa....... nadhani kwenye malezi bado kuna kitu hakiko sawa,baada ya miaka mitano ijayo naona mambo yatakuwa magumu zaidi
Vijana wanaona mbona hakuna mizani kwenye hiyo taasisi ya ndoa angali mambo yamebadilika.Na ikitokea kuachana zigo la kuvurugiwa uchumi linaangukia kwa mwanaume.Kataa ndoa ni matokeo ya vijana kuwa na akili Sana
Umesema vema mkuu...ombwe la maleficent na huduma zingine za kijamii kwa watoto wa kiume linajitokeza kwa nguvu.1️⃣ Tumeshuhudia ongezeko la vijana wa kiume wanaokataa ndoa au kuikwepa. Hili si jambo la bahati mbaya, bali ni matokeo ya malezi yaliyomwacha mtoto wa kiume bila mwongozo wa kutosha.
2️⃣ Kwa miaka mingi, harakati za kumwinua mwanamke zilihamasisha elimu, ajira, na haki za wanawake, jambo ambalo ni jema. Lakini, kwa upande mwingine, kampeni hizi hazikutoa msukumo sawa kwa malezi ya mtoto wa kiume. Mambo yalianzia Beijing na kuona mtoto wa kike pekee anapaswa kupewa kipaumbele cha malezi.
3️⃣ MTOTO WA KIUME AMEACHWA ANAJILEA. Amefundishwa kuwa anapaswa kuwa mgumu, kupambana mwenyewe, na mara nyingi amekosa mifano mizuri ya ndoa kutoka kwa wale waliomtangulia.
4️⃣ Wavulana wengi wamekulia kwenye familia zenye mzazi mmoja, hasa mama pekee, ambaye anapambana kulea peke yake. Hili limewafanya baadhi ya wanaume wasione ndoa kama taasisi inayostahili kuheshimiwa au kutafutwa na au kuwa mfano wa maisha imara ya familia. Wanaona ndoa ni taasisi ya ngono na kuzaa, jambo wanalohisi linaweza kukamilika hata nje ya taasisi hiyo.
5️⃣ Wengine wamekulia katika mazingira ya baba asiyejali, baba aliyekimbia majukumu, au baba aliyepo lakini hayupo kiuhalisia. Hawakujifunza upendo wa kweli wa ndoa bali waliona ndoa kama mzigo au jela ya maisha.
6️⃣ Katika jamii, mtoto wa kiume amekuzwa akiambiwa "wanaume hawalii," "wanaume hawana matatizo ya kihisia," na "wanaume wanapaswa kuwa wagumu." Hii imemfanya ajitenge na mahusiano yenye hisia za dhati, ikiwa ni pamoja na ndoa.
7️⃣ Vijana wengi wa kiume sasa wanachagua kuishi peke yao, kuepuka mahusiano ya kudumu, na wengine kujiingiza kwenye maisha ya anasa bila mipango ya kuanzisha familia. Kwao, ndoa si kipaumbele tena.
8️⃣ Tunapaswa kutathmini upya mfumo wetu wa malezi. Kupambana kwa ajili ya haki za wanawake haipaswi kumaanisha kumsahau mtoto wa kiume. Lazima tuwaelekeze wavulana juu ya thamani ya familia, uongozi wa heshima, na mapenzi ya dhati.
9️⃣ Hatuwezi kuwa na jamii imara ikiwa kizazi cha sasa cha wanaume hakioni thamani ya ndoa. Tunahitaji kampeni mpya za malezi zinazomhusisha mtoto wa kiume, zikifundisha wajibu wake katika familia na jamii.
🔟 Tuanzishe mjadala: Je, malezi yanayompuuza mtoto wa kiume yamechangia kwa kiasi gani katika kizazi cha vijana wanaokataa ndoa? Tuambie maoni yako.
MY TAKE ⬇️:
Zichukuliwe jitihada za maksudi kuijenga jamii ya kiume ione umuhimu wa ndoa kwa kuwa taifa imara linaanzia kwenye taasisi ya ndoa.
CC: @Dgwajima
Wewe upo upende gani mkuu mshamba_hachekwi ?kataa ndoa wana hoja, kubali ndoa nao wana hoja
ni tafrani
mzazi unamwandaa mtoto vizuri ,mitandao ya kijamii na makundi yanaenda kumvuruga kabisaaa jumla jumlaUmesema vema mkuu...ombwe la maleficent na huduma zingine za kijamii kwa watoto wa kiume linajitokeza kwa nguvu.
Hata kwenye shule za sekondari...ni rahisi kuorodhesha shule 10 bora za wasichana lakini ukapata kigugumizi kuorodhesha shule 5 bora za watoto wa kiume.
Mfumo unaandaa watoto wa kike watakaojitegemea (which is ok) na hakuna jitihada za kuandaa husband materials watakaowaoa!
Inategemea, wakati mwingine wanafamilia wanaona kwamba wewe mtoto wao unapotea mathalani unapeleka kahaba wao kama familia wanaona na wasingependa mtoto wao mpendwa upotee.jibuni hoja kwanza ninyi kam wazazi mnaotaka tuoe maana unakuta mtu anataka kuoa baada y kumpeleka msichana wa watu nyumbn wazazi wanamkataa so hapo unategemea nini
sasa hapo naona unanirudisha nyuma kwa wale wazazi wanaowachagulia wenza watoto wao kitu ambacho sicho sahihiInategemea, wakati mwingine wanafamilia wanaona kwamba wewe mtoto wao unapotea mathalani unapeleka kahaba wao kama familia wanaona na wasingependa mtoto wao mpendwa upotee.
Haswaaa!!Ukweli ni kwamba hizi kelele ni za humu Kwenye mitandao ya kijamii huku mtaani watu wanafunga ndoa kila siku.
hakuna ukweli wowote labda kam wanatoroshanaHaswaaa!!
Kivipi?hakuna ukweli wowote labda kam wanatoroshana
toa list ya wanao oa ndoa halaliKivipi?
KATAA NDOA, UKIOA ASIYE BIKRA UNAOA MKE WA MTU AJE AKUTESE NA AKULINGANISHE NA EX WAKE.. KATAA NDOA USITOE AJIRA KWA MWANAMKE KWA MGONGO WA NDOA HUKU ANAKUCHEPUKIA..1️⃣ Tumeshuhudia ongezeko la vijana wa kiume wanaokataa ndoa au kuikwepa. Hili si jambo la bahati mbaya, bali ni matokeo ya malezi yaliyomwacha mtoto wa kiume bila mwongozo wa kutosha.
2️⃣ Kwa miaka mingi, harakati za kumwinua mwanamke zilihamasisha elimu, ajira, na haki za wanawake, jambo ambalo ni jema. Lakini, kwa upande mwingine, kampeni hizi hazikutoa msukumo sawa kwa malezi ya mtoto wa kiume. Mambo yalianzia Beijing na kuona mtoto wa kike pekee anapaswa kupewa kipaumbele cha malezi.
3️⃣ MTOTO WA KIUME AMEACHWA ANAJILEA. Amefundishwa kuwa anapaswa kuwa mgumu, kupambana mwenyewe, na mara nyingi amekosa mifano mizuri ya ndoa kutoka kwa wale waliomtangulia.
4️⃣ Wavulana wengi wamekulia kwenye familia zenye mzazi mmoja, hasa mama pekee, ambaye anapambana kulea peke yake. Hili limewafanya baadhi ya wanaume wasione ndoa kama taasisi inayostahili kuheshimiwa au kutafutwa na au kuwa mfano wa maisha imara ya familia. Wanaona ndoa ni taasisi ya ngono na kuzaa, jambo wanalohisi linaweza kukamilika hata nje ya taasisi hiyo.
5️⃣ Wengine wamekulia katika mazingira ya baba asiyejali, baba aliyekimbia majukumu, au baba aliyepo lakini hayupo kiuhalisia. Hawakujifunza upendo wa kweli wa ndoa bali waliona ndoa kama mzigo au jela ya maisha.
6️⃣ Katika jamii, mtoto wa kiume amekuzwa akiambiwa "wanaume hawalii," "wanaume hawana matatizo ya kihisia," na "wanaume wanapaswa kuwa wagumu." Hii imemfanya ajitenge na mahusiano yenye hisia za dhati, ikiwa ni pamoja na ndoa.
7️⃣ Vijana wengi wa kiume sasa wanachagua kuishi peke yao, kuepuka mahusiano ya kudumu, na wengine kujiingiza kwenye maisha ya anasa bila mipango ya kuanzisha familia. Kwao, ndoa si kipaumbele tena.
8️⃣ Tunapaswa kutathmini upya mfumo wetu wa malezi. Kupambana kwa ajili ya haki za wanawake haipaswi kumaanisha kumsahau mtoto wa kiume. Lazima tuwaelekeze wavulana juu ya thamani ya familia, uongozi wa heshima, na mapenzi ya dhati.
9️⃣ Hatuwezi kuwa na jamii imara ikiwa kizazi cha sasa cha wanaume hakioni thamani ya ndoa. Tunahitaji kampeni mpya za malezi zinazomhusisha mtoto wa kiume, zikifundisha wajibu wake katika familia na jamii.
🔟 Tuanzishe mjadala: Je, malezi yanayompuuza mtoto wa kiume yamechangia kwa kiasi gani katika kizazi cha vijana wanaokataa ndoa? Tuambie maoni yako.
MY TAKE ⬇️:
Zichukuliwe jitihada za maksudi kuijenga jamii ya kiume ione umuhimu wa ndoa kwa kuwa taifa imara linaanzia kwenye taasisi ya ndoa.
CC: @Dgwajima
Kuchapiwa kawaida tu. Ila mnapozeeka mtajua hamjui. Pia hatumpi uongozi wa umma mtu asie na ndoaKataa ndoa,usisikilize kelele za waomba unyumba maumivu yake hayasimuliki.
KUBALI NDOA; Nyie ni maSIMPS, wanaume zaifu ambao kazi yenu kubwa ni kuoa hawa malaya wastaafu.Ukweli mchungu ni kuwa KATAA NDOA wanawajua hao wanawake zenu nje ndani kitu ambacho kinawafanya waone mmepotea maana mda wowote KATAA NDOA wanapasha viporo.
KUBALI NDOA tunajua wasiwasi wenu ni katika kuogopa kuchapiwa.Niwatoe hofu na kuwaahidi kuwa kuchawa mtachapi na wachapaji ndo KATAA NDOA mpende msipende.
A GREAT WEAK MAN(SIMP) HERE COMES😂😂😂😂😂😂Kuchapiwa kawaida tu. Ila mnapozeeka mtajua hamjui. Pia hatumpi uongozi wa umma mtu asie na ndoa
Humu asilimia kubwa ni wahuni na wana stress za Maisha nyuzi wanazo anzisha ni tofauti na Maisha ya huku Duniani😀Katana Ndoa watakwambia "Na wanaachana kila siku"😄