Marehemu ni wale wanaomshabikia Gwaji boyInabidi aje kwanza kukufufua wewe maana naona u marehemu wa akili
Mkuu ingekuwa sehemu nyingine labda, lakini pia hata huko wasingemchagua kutokana na historia mbaya kuhusu yeye. Ila kawe hata 15% ya kura zoye hapati. Mark my words (Tunza hii komenti)Wanakawe haohao ndo watampa kumbuka pia mtaan kuna watu ambao hawako upande wowote na wamejiandikisha ikubalike tu kuwa Gwajima lazima ashinde
Gwajima amedata baada ya kuona hali ni ngumu huku wapambe wakila pesa zake kama njuguKatika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na joto la kampeni na kupoteza uelekeo, mgombea wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima aliibuka kwenye darasa la watoto wa shule ya awali.
Hebu tazama hiyo video akiwa na Luca Neghesti mgombea udiwani kata ya Msasani.
View attachment 1586399
Gwajima ana uongo wa kishamba sanaTatizo la Gwajima haijui siasa, ana propaganda za uongo kabisa, wakati wenzie huwa wanaongea uongo unaofanana na ukweli, Gwajima anasema atawapeleka wananchi wa Kawe Marekani wakajifunze kuogelea!.
Mara aseme amechapisha vitabu 15 kwa kijapani, halafu nikivitafuta google sivioni.
Kwa uongo wake, huyu mtu hafai hata kuwa kanisani, bora atafute kazi nyingine ya kufanya..
Wananchi wa wapi unawasemea? acha kulazimisha kuwaemea wengine wakati kila mmoja anapima uongo wa Gwajima kwa Akili zakeWananchi wa kawe tutampigia kura wewe na wenzako ndio mmepoteza mwelekeo mnatapatapa tu.
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Labda aibe kura lakini uchaguzi huru na haki ni vigumu kupenya kaweSiasa ni upepo! Jamaa akishinda nitachukia!
Hahaha aki vile akili zako zinakutosha wewe mwenyewe uko empty sana BrooWewe utakuwa moja ya misukule wake aliyowahi ifufua, mana siyo kwa ujinga huu
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
We mwenyewe wa shamba tu utajilinganisha na Gwajima yule n next levelGwajima ana uongo wa kishamba sana
Hahaha pasuka yan na utachukia vibaya wewe maana lazima ashinde[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siasa ni upepo! Jamaa akishinda nitachukia!
Kumbe unajua kuwa jamaa anahela kukuzidi wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Gwajima amedata baada ya kuona hali ni ngumu huku wapambe wakila pesa zake kama njugu
HashindiSiasa ni upepo! Jamaa akishinda nitachukia!
Haha haha hahahMarehemu ni wale wanaomshabikia Gwaji boy
alisema ananunua treni mkashangilia
ananunua meli mkashangilia
ananunua ndege mkashangilia
kawaahidi kuwapeleka Marekani mkashangilia
kawaambia atamshinda Halima Mdee mnashangilia
Ndio maana mnahitaji ufufuo na uzima wafu nyie
Washington, DC — The ranking Democratic and Republican members of the U.S. House Subcommittee on Africa are packing a resolution urging the government of Tanzania to respect human and economic rights and to conduct free and fair elections on October 28.Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na joto la kampeni na kupoteza uelekeo, mgombea wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima aliibuka kwenye darasa la watoto wa shule ya awali.
Hebu tazama hiyo video akiwa na Luca Neghesti mgombea udiwani kata ya Msasani.
View attachment 1586399
Si alisema yislamu ni dini ya mpinga kristo,na wakatoliki ni dini ya nabii wa uongoKatika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na joto la kampeni na kupoteza uelekeo, mgombea wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima aliibuka kwenye darasa la watoto wa shule ya awali.
Hebu tazama hiyo video akiwa na Luca Neghesti mgombea udiwani kata ya Msasani.
View attachment 1586399
Akatafute kura kwa misukule yakeSi alisema yislamu ni dini ya mpinga kristo,na wakatoliki ni dini ya nabii wa uongo
Laana ya kutafuna kondoo wake inamundama huyu mtaalamu wa ngono uzembeKatika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na joto la kampeni na kupoteza uelekeo, mgombea wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima aliibuka kwenye darasa la watoto wa shule ya awali.
Hebu tazama hiyo video akiwa na Luca Neghesti mgombea udiwani kata ya Msasani.
View attachment 1586399
Sasa akichokwa mbadala wake awe Gwajima au.Unaamka asubuhi hujajua kama utakula mchana halafu unaandika upuuzi kuhusu Gwajima ambaye yuko busy na kampeni jimboni halafu utakuja kusema mnaibiwa kura.
Nani asiyejua kuwa Halima amechokwa na wananchi wa Kawe na hawamtaki kabisa. Zamu hii atatusamehe