Elections 2010 Kampeni za jk manyoni

urasa

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
434
Reaction score
2
nipo hapa uwanja wa jumbe manyoni watu wanamsubiria jk anayetarajia kuhutubia hapa muda si mrefu,watu ni wachache sana hawazidi mia moja,labda tusubilie watakavyobebwa na malori kuja kwenye huu mkutano,hapa vijana wanawatukana wenzao kwa kukubali kuvaa fulana za bure na kugeuka mabango ya matangazo,nitawajulisha zaidi
 
Watajaa tuu we ngoja malori na mabasi yanaenda kuwasomba
 
Akiambiwa hakuna watu haji huyoooooooooooo. Polisi wapo? Meaning mkuu wa mapolisi wa hapo.
 
kwani nanhutubia saa ngapi?? kama ni saaa tisa kuna haja ya kuwahi???
 
Anapaswa kuanza saa 6 na nusu bado hakuna watu,kuna wachache sana walio ktk fulana za kijani na njano,
 

Mkutano wa JK hata siku moja hauwezi kuhudhuriwa na watu chini ya 1000. Hata kama hakuna wapenzi wa CCM, bado watu watajaa kwenda kushangaa shangaa tu.

Tuletee picha ya hao watu 100.
 
Helkopta inazunguka juu ila bado uwanja hakuna watu
 
Malori na mabasi yako njiani. Vikundi nya ngoma vitawasili hapo muda si mrefu utaona watu watakavyojaa
 
kinachonishangaza mimi ni kwanini unakampenia watu ambao tayari wana tisheti za CCM? ningefarijika zaidi kuona watu kwenye mikutano ya kampeni za CCM wana nguo za upinzani kwani dhana nzima ya kampeni ni kuvuta ambao wako uande wa pili wa shilingi

eniwei, kwa CCM na tanzania kampeni ni sehemu nyingine ya kuwajua akina masanja
 
We Muheza2007 humwamini huyu Urasa? Hata hivyo camera sio nywele hata wengine wana vipara bila nywele. Kama hana camera ataletaje hizo picha?
 
Vikundi vya ngoma vya wakina mama ndani ya khanga za ccm vinaingia hapa,hadi huruma guyz,kazi ipo
 
Wana ccm wanacheza ngoma hapa
 
Anapaswa kuanza saa 6 na nusu bado hakuna watu,kuna wachache sana walio ktk fulana za kijani na njano,

Nimemtafuta mchizi wangu yupo hapo MANYONI anasema JK ataingia saa nane na sio sita na nusu, nadhani malori bado ayajaja kutoka vijijini huko.
Nime muomba anitafutie picha hope tutapata.
 


safi
 
wakina Masnja hawajaja? Unacheza na kuwaona ze comedy live?
 
Kweli atachelewa na kwa sasa nimepata taarifa anamalizia hotuba ikungu jimbo la singida magharibi kwa tundu lisu ndio aje hapa,hakuna watu hapa bado na msisimko ni mdogo sana,huko kwa lisu kuna upinzani mkubwa sana
 
Lori la kwanza linaingia hapa likiwa limeshona watu
 
Naam ndo staili ya ccm hiyo. Basi ukiona hivyo dc keshachota fungu toka kwenye mfuko wa maendeleo akodishe magari ya kuleta watu. Basi nalo litaingia punde tu. Hope na siku ya kura watatuma malori yabebe watu wakapige kura! Raha tupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…