Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Maji safi na salama, ndio maana wanaiba kura.Miaka 60 ya uhuru ahadi zao ni zile zile
Wanakomaa kubakia madarakani ili kujilinda sio kutengeneze na kuboresha Taifa.Miaka 60 ya uhuru ahadi zao ni zile zile
Mthenge mbwa wewNa Mungu alimjua ndio maana akampeleka motoni kwani anajua hakustahili kuendelea kuishi na binadamu.
#MUHAMBWE
KIGOMA
Baadhi ya Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamewasili Jimboni Muhambwe Mkoani Kigoma kwa ajili ya kufanya kampeni kwa wagombea Chama Cha Mapinduzi katika majimbo yote mawili ya Muhambwe na Buhigwe
Wabunge hao ni Mheshimiwa Asia Alamga pamoja na Ng'wasi Kamani wabunge wanaowakilisha kundi la Vijana , Saasisha Mafuwe Mbunge wa Hai na Timotheo Mzava wa Korogwe vijjini.
Kazi inaendelea
View attachment 1783477View attachment 1783478
Na wewe kwimamayozakomthengewewe