Louis II
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 3,030
- 4,647
Sina hakika kama kutakuwa msamiati mpya. Kuna maneno yamekuwa adimu sana kuyasikia kwenye zile insha za kusifu na kuabudu.
Maneno haya yamekuwa adimu kwakweli ajira, ongezeko la mishahara na upandishwaji wa madaraja kwa watumishi, usawa, umoja wa kitaifa, usawa nk. Bila shaka hatutayasikia yakipambwa wakati wa kampeni maana hayakutekelezwa (Aibu).
Tutarajie maneno kama ndege, flyover, Stieglers Gorge, ujenzi wa mabarabara, elimu bure na umeme wa REA. Haya maneno yanachosha sana na yatafanya kampeni zipooze/ziboe. Masikio yatachoka sana.
UPDATE
Kuna mdau kanikumbusha na zile milioni 50 kila kijiji hatutasikia mbwembwe za kujinadi nazo tena.
Maneno haya yamekuwa adimu kwakweli ajira, ongezeko la mishahara na upandishwaji wa madaraja kwa watumishi, usawa, umoja wa kitaifa, usawa nk. Bila shaka hatutayasikia yakipambwa wakati wa kampeni maana hayakutekelezwa (Aibu).
Tutarajie maneno kama ndege, flyover, Stieglers Gorge, ujenzi wa mabarabara, elimu bure na umeme wa REA. Haya maneno yanachosha sana na yatafanya kampeni zipooze/ziboe. Masikio yatachoka sana.
UPDATE
Kuna mdau kanikumbusha na zile milioni 50 kila kijiji hatutasikia mbwembwe za kujinadi nazo tena.