Uchaguzi 2020 Kampeni za mwaka huu kwa upande wa Chama Tawala zitachosha sana masikio

Uchaguzi 2020 Kampeni za mwaka huu kwa upande wa Chama Tawala zitachosha sana masikio

Wakulima wa korosho hawataki Hata kuisikia ccm

Watumishi wa umma hawana muda nayo imeshawanyoosha

Wafanya biashara hawana usemi wana izoom tuu

Mambo Mengi hawana pakushika
Hilo la watumishi wa umma endelea kujidanganya.
 
Sina hakika kama kutakuwa msamiati mpya. Kuna maneno yamekuwa adimu sana kuyasikia kwenye zile insha za kusifu na kuabudu.

Maneno haya yamekuwa adimu kwakweli ajira, ongezeko la mishahara na upandishwaji wa madaraja kwa watumishi, usawa, umoja wa kitaifa, usawa nk. Bila shaka hatutayasikia yakipambwa wakati wa kampeni maana hayakutekelezwa (Aibu).

Tutarajie maneno kama ndege, flyover, Stieglers Gorge, ujenzi wa mabarabara, elimu bure na umeme wa REA. Haya maneno yanachosha sana na yatafanya kampeni zipooze/ziboe. Masikio yatachoka sana.

UPDATE
Kuna mdau kanikumbusha na zile milioni 50 kila kijiji hatutasikia mbwembwe za kujinadi nazo tena.
Tegemeo la ccm ni vitu vitatu tu sgr,ndege,stiglers goeorge ambavyo viwili haviwezi kamilika kabla ya uchaguzi hivi havimsaidii aliyepo vijijini ambapo wao kuwatajia wanaona ni labda jina la dawa mpya.Ccm hawana majibu juu ya haya
-Milioni 50 kila kijiji,
-Kuwakomoa watumishi kuwanyima haki ya kikatiba nyongeza ya mishahara,vyeo,madaraja,malimbikizo
-Maisha bora wamesomesha watu namba
-Ukosefu wa usalama wasiojulikana,
-Kuwapora wananchi haki ya uchaguzi serikali Mitaa
-Ukosefu Wa ajira kwa kuuwa sector binafsi
-Kuuwa kilimo
Hapa hawana majibu na awatoyapata hata kwa mwanga wa karabai.
 
Tegemeo la ccm ni vitu vitatu tu sgr,ndege,stiglers goeorge ambavyo viwili haviwezi kamilika kabla ya uchaguzi hivi havimsaidii aliyepo vijijini ambapo wao kuwatajia wanaona ni labda jina la dawa mpya.Ccm hawana majibu juu ya haya
-Milioni 50 kila kijiji,
-Kuwakomoa watumishi kuwanyima haki ya kikatiba nyongeza ya mishahara,vyeo,madaraja,malimbikizo
-Maisha bora wamesomesha watu namba
-Ukosefu wa usalama wasiojulikana,
-Kuwapora wananchi haki ya uchaguzi serikali Mitaa
-Ukosefu Wa ajira kwa kuuwa sector binafsi
-Kuuwa kilimo
Hapa hawana majibu na awatoyapata hata kwa mwanga wa karabai.
Usisahu kuja kutupa updates November baada ya uchaguzi.
 
Sina hakika kama kutakuwa msamiati mpya. Kuna maneno yamekuwa adimu sana kuyasikia kwenye zile insha za kusifu na kuabudu.

Maneno haya yamekuwa adimu kwakweli ajira, ongezeko la mishahara na upandishwaji wa madaraja kwa watumishi, usawa, umoja wa kitaifa, usawa nk. Bila shaka hatutayasikia yakipambwa wakati wa kampeni maana hayakutekelezwa (Aibu).

Tutarajie maneno kama ndege, flyover, Stieglers Gorge, ujenzi wa mabarabara, elimu bure na umeme wa REA. Haya maneno yanachosha sana na yatafanya kampeni zipooze/ziboe. Masikio yatachoka sana.

UPDATE
Kuna mdau kanikumbusha na zile milioni 50 kila kijiji hatutasikia mbwembwe za kujinadi nazo tena.

Watakao ichagua tena watakuwa mafala sana
 
Yako maeneo jpm kafanya vizuri, ila yako maeneo kavurunda kuliko hata jk.mfano kwenye kuajiri kavurunda hatari
 
Back
Top Bottom