Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,403
- 4,373
Mama yakoupungufu wa akili ni wewe na familia yako...makende
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yakoupungufu wa akili ni wewe na familia yako...makende
Lkn sisi kwetu hatujachinjana na
kama Wakenya, Mtanzania anaweza kuishi na kununua Shamba popote pale nchini kwetu lkn Mkenya Mkikuyu anafukuzwa na Wakakenjini na Mjaluo hawezi kununua Shamba huko Ukikuyuni!
demokrasia Kenya ni bora kuliko nchi zingine zote ukanda huu...ukienda Uganda utapata mjinga ameshikilia ulinzi karibia miaka thelathini sasa...rudi Tz, chama cha CCM yalindwa na madikteta...nenda kule Rwanda umpate Kagame naye anataka kufia mamlakani...sijamtaja hata Mugabe kule Zimbabwe...Ila ukija Kenya, utapata Uhuru Kenyatta kwa sasa anatetemeka na kugwaya sana sababu NASA pia wana kura nyingi...uchaguzi huu ni 50/50...Uhuru inawezekana akaenda nyumbani na pia inawezekana akashinda..Ethiopia naskia wanahabari hawana Uhuru wowote...huwezi ukamtusi rais ama prime minister pengine kama unataka kuuwawa..ukienda Somalia, rais anateuliwa na wanasiasa na sio kuchaguliwa na raia....
Haja dharau amesema ukweliNdugu yangu jaribu kupunguza dharau,jamaa alie uliza hakua nania mbaya bali kwa uelewa tu.Kwahiyo haijawa fair kumjibu MTU kwa dhihaka.Samahan kama nimekukwaza.
huu ndio unaita mafuriko ya watu??
Well said Comrade...Mambo ya siasa achana nayo! Waweza kuta kwenye umati huo ni robo tu ndo waliojiandikisha kwenye daftari la wapiga kura.Wengine wapo tu kusikiliza moto unaowashwa waburudike na kwenda kusimulia.
Pamoja na hayo, ukumbuke jubilee wamejiandaa sana kisayansi!
Kama ilivyokuwa kwa yule mzee aliekuwa akiwazungusha mikono.
my frend Ukawa ndio mnyama mgani? NASA means National Super Alliance...huwa wakenya hatufuatilii mambo ya Tz kwa hiyo unashangaza ukimtaja mnyama sijui wa aina gani huyo na kumfananisha na the mighty NASA...😀😀
my frend Ukawa ndio mnyama mgani? NASA means National Super Alliance...huwa wakenya hatufuatilii mambo ya Tz kwa hiyo unashangaza ukimtaja mnyama sijui wa aina gani huyo na kumfananisha na the mighty NASA...😀😀
Lkn sisi kwetu hatujachinjana na
kama Wakenya, Mtanzania anaweza kuishi na kununua Shamba popote pale nchini kwetu lkn Mkenya Mkikuyu anafukuzwa na Wakakenjini na Mjaluo hawezi kununua Shamba huko Ukikuyuni!
Hapa sasa umeandika nini?Demokrasia Yakuua watoto wasio na Hatia
Ndugu yangu umesahau kilichotokea hapa Tanzania? Hayo mafuriko kuna watu hapa tz hawataki hata kuyasikia!
Tofauti kati ya Kenya na Tanzania yangu ni Kuwa Sisi tunaongea wao wanatenda thou wako na kasoro zao but wanapiga hatua kubwa kimaendeleo na Kidemokrasia
UCHAGUZI MWEMA MAJIRANI
Typically Kenyan!umesema hufuatilii mambo ya Tanzani,hapo juu umesema "rudi Tz, chama cha CCM yalindwa na madikteta..."yaani mnaumwa sana na Tanzaniamy frend Ukawa ndio mnyama mgani? NASA means National Super Alliance...huwa wakenya hatufuatilii mambo ya Tz kwa hiyo unashangaza ukimtaja mnyama sijui wa aina gani huyo na kumfananisha na the mighty NASA...😀😀