CalvinKimaro
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 245
- 314
KAMPENI ZA UCHAGUZI 2020
Hapana Shana CCM Watamsimamisha Dr. John Pombe Magufuli na Ukawa Watamsimamisha Low assa au Lissu au Zitto Kabwe. Na hivi ndivyo watakavyoomba ridhaa ya Wananchi kwa kipindi cha 2020-2025
DR. John Pombe Magufuli Wa CCM.
1. Serikali imetoa elimu bure kuanzia darasa la awali hadi kidato cha nne
2. Tumeanzisha miradi mbalimbali mikubwa kama vile Reli ya kisasa, Bomba la Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga, tunajenga Bwawa la kuzalisha Umeme huko Rufiji n.k. Miradi hii itainua uchumi wa nchi na kutoa ajira kwa watu wetu
3. Tumejenga miundombinu ya Barabara za juu na chini, Madaraja ili Watanzania waweze kufanya shughuli zao kirahisi ikiwa ni pamoja na kurahishisha wakulima kusafirisha mazao yao haraka na kwa unafuu zaidi.
4. Tumenunua ndege ili kuongeza idadi ya Watalii na hivyo pato la Taifa litaongezeka
5. Tumepunguza Rushwa kwa kiasi mikubwa na kupambana na ufisadi.
6. Tumewaondoa Watumishi hawa, wanafunzi hewa ambao walikuwa wanaliingizia hasara Taifa kutokana na malipo hewa.
7. Tumerudisha nidhamu makazini, wananchi hivi sasa wanapata huduma maofisni, hospitalini bìla usumbufu.
8. Serikali imekuwa upande wa Wakulima wakati wote hasa wakati wa kuuza mazao yao ili wapate Kufaidi jasho lao .
9. Serikali imebana matumizi kwa kupunguza Safari za nje, Warsha, na Vikao ambazo zilitumia fedha nyingi.
10. Tumeongeza bajeti katika sekta za elimu, afya na kwenye miradi ya Maendeleo
Naombeni ridhaa yenu ili Nikamilishe miradi hii na kutekeleza ilani ya uchaguzi ya 2020-2025. Asanteni sana.
EDWARD LOWASSA/TUNDU LISSU/ZITTO KABWE
1. Tuliwasaidia ACACIA kuishtaki Serikali
2. Tumewezesha Ndege wetu kuzuiliwa Canada.
3. Tumeweza kuwashawishi nchi wahisani kusitisha misaada kwa Tanzania kwa sababu Mashoga wanaonewa.
4. Tumeweza kuwatetea Mashoga na Wasagaji
5. Tulijaribu kuwavuruga wakulima wa Korosho tukashindwa, Awamu hii mkitupa kura tutafanikiwa.
Naombeni ridhaa yenu sisi tutakuwa wanyenyekevu kwa wahisani ili tupate fedha, tutaruhusu Ushoga, tutajenga Wodi za wazazi mashuleni ili watoto wetu wawe wanajifungulia mashuleni kuepuka kukosa masomo. Mikakati yetu ni mingi mtuamini.
Hapana Shana CCM Watamsimamisha Dr. John Pombe Magufuli na Ukawa Watamsimamisha Low assa au Lissu au Zitto Kabwe. Na hivi ndivyo watakavyoomba ridhaa ya Wananchi kwa kipindi cha 2020-2025
DR. John Pombe Magufuli Wa CCM.
1. Serikali imetoa elimu bure kuanzia darasa la awali hadi kidato cha nne
2. Tumeanzisha miradi mbalimbali mikubwa kama vile Reli ya kisasa, Bomba la Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga, tunajenga Bwawa la kuzalisha Umeme huko Rufiji n.k. Miradi hii itainua uchumi wa nchi na kutoa ajira kwa watu wetu
3. Tumejenga miundombinu ya Barabara za juu na chini, Madaraja ili Watanzania waweze kufanya shughuli zao kirahisi ikiwa ni pamoja na kurahishisha wakulima kusafirisha mazao yao haraka na kwa unafuu zaidi.
4. Tumenunua ndege ili kuongeza idadi ya Watalii na hivyo pato la Taifa litaongezeka
5. Tumepunguza Rushwa kwa kiasi mikubwa na kupambana na ufisadi.
6. Tumewaondoa Watumishi hawa, wanafunzi hewa ambao walikuwa wanaliingizia hasara Taifa kutokana na malipo hewa.
7. Tumerudisha nidhamu makazini, wananchi hivi sasa wanapata huduma maofisni, hospitalini bìla usumbufu.
8. Serikali imekuwa upande wa Wakulima wakati wote hasa wakati wa kuuza mazao yao ili wapate Kufaidi jasho lao .
9. Serikali imebana matumizi kwa kupunguza Safari za nje, Warsha, na Vikao ambazo zilitumia fedha nyingi.
10. Tumeongeza bajeti katika sekta za elimu, afya na kwenye miradi ya Maendeleo
Naombeni ridhaa yenu ili Nikamilishe miradi hii na kutekeleza ilani ya uchaguzi ya 2020-2025. Asanteni sana.
EDWARD LOWASSA/TUNDU LISSU/ZITTO KABWE
1. Tuliwasaidia ACACIA kuishtaki Serikali
2. Tumewezesha Ndege wetu kuzuiliwa Canada.
3. Tumeweza kuwashawishi nchi wahisani kusitisha misaada kwa Tanzania kwa sababu Mashoga wanaonewa.
4. Tumeweza kuwatetea Mashoga na Wasagaji
5. Tulijaribu kuwavuruga wakulima wa Korosho tukashindwa, Awamu hii mkitupa kura tutafanikiwa.
Naombeni ridhaa yenu sisi tutakuwa wanyenyekevu kwa wahisani ili tupate fedha, tutaruhusu Ushoga, tutajenga Wodi za wazazi mashuleni ili watoto wetu wawe wanajifungulia mashuleni kuepuka kukosa masomo. Mikakati yetu ni mingi mtuamini.