joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Thread Kama hizi hawazipendi kabisa kwasababu zinawaweka chini ya Tanzania, atakayejitokeza utaona majibu yake yalivyo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakenya njooni huku kuna ujumbe wenu...
Ninakumbuka hadi leo tume ya uchaguzi Kenya imekataa kufungua servers zake zikaguliwe kama mahakama ilivyoamuru, NASA ilisema tume ibadilishwe ndio warudi katika uchaguzi wa marudio kwasababu haikua huru lakini tume ilibaki ileile hadi leo [emoji23][emoji23][emoji23]Maana ya demokrasia ni pamoja na uchaguzi ambao ni huru na wa haki. Demokrasia sio kuchagua chagua vipengele fulani na kupuuza vingine ambavyo ni nyeti zaidi. Vipi kuhusu tume ya uchaguzi, ni ile ile ambayo ilifanya maigizo ya ajabu ajabu uchaguzi uliopita? Wanahabari nao wanafanya haki kwa wagombea wote na vyama vyote kwa kufanya 'balanced coverage' ya kampeni? TBCCM inatoa muongozo na mfano mzuri kwa wanahabari wenzao, au ipo chini ya kisigino cha chama tawala? Wafanyakazi wa umma wapo huru kujihusisha na kampeni za vyama wanavyovitaka wao au wamebanwa na 'muajiri' wao? Nina maswali kibao.
Tuwekee ushahidi kaka tuone"hadi sasa hakuna mtu yeyote aliyepigwa na polisi au wanachama wa vyama vya upinzani kushambuliana kwa aina yoyote ile, hii ndio maana halisi ya demokrasia, amani na utulivu"
Boss una hakika na hilo? Ngoja nikukumbushe haya mawili japo tujipongeze tumejitahidi sana ila CCM,NEC na wakurugenzi wanataka kutuvurugia.
[emoji117]Mwanachama wa NCCR mageuzi alikatwa sikio vunjo
[emoji117]Wahuni wa CCM walimtupia mawe Mh Rais mtarajiwa TAL
Mkuu chek hii"hadi sasa hakuna mtu yeyote aliyepigwa na polisi au wanachama wa vyama vya upinzani kushambuliana kwa aina yoyote ile, hii ndio maana halisi ya demokrasia, amani na utulivu"
Boss una hakika na hilo? Ngoja nikukumbushe haya mawili japo tujipongeze tumejitahidi sana ila CCM,NEC na wakurugenzi wanataka kutuvurugia.
[emoji117]Mwanachama wa NCCR mageuzi alikatwa sikio vunjo
[emoji117]Wahuni wa CCM walimtupia mawe Mh Rais mtarajiwa TAL
Tanzania nchi ya mfano. Kenya wanatuzidi kwenye udalali tu, wanachukua parachichi njombe wakiuza wanasema zimetoka kenya. Tanzanite Magufuri kawakomesha. Dhahabu pia wanaugulia maumivu tuSasa hivi ni takriban mwezi mmoja tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu utakaofanyika 28th October, wananchi wamekuwa wakijitokeza kwa wingi sana kusikiliza sera za wagombea wa nafasi mbalimbali.
Jambo la kufurahisha na ambalo tungeomba majirani wetu kuiga Tanzania ni hili la amani na utulivu unaokuwepo katika mikutano ya wagombea mbalimbali, hadi sasa hakuna mtu yeyote aliyepigwa na polisi au wanachama wa vyama vya upinzani kushambuliana kwa aina yoyote ile, hii ndio maana halisi ya demokrasia, amani na utulivu.
Was it during campaign or parliament sessions?, more than 50 prominent politicians in Kenya were killed through political assassinations, non in Tanzanian history has been assassinated.An opposition leader in Kenya has never been shot 16 times during the campaigns. Na mkimaliza campaigns zenu ambieni Magufuli asisahau kurudisha hile chopper alikodi kutoka Kenya.
An opposition leader in Kenya has never been shot 16 times during the campaigns. Na mkimaliza campaigns zenu ambieni Magufuli asisahau kurudisha hile chopper alikodi kutoka Kenya.
Hawataki kukubali mapungufu yao, lazima watafute njia ya kutokea [emoji23][emoji23][emoji23]It was during campaigns.
And at least haikuwa kwa sababu ya ukabila.
Wafanyakazi wa umma wajihusishe na siasa? Una matatizo? Yaani madaktari na wenyewe wawe na bendera za kichama huko wodini? Maadili ya kazi hayawaruhusu kuonesha mirengo yao ya kisiasa sababu kazi sio siasa ni taaluma.Maana ya demokrasia ni pamoja na uchaguzi ambao ni huru na wa haki. Demokrasia sio kuchagua chagua vipengele fulani na kupuuza vingine ambavyo ni nyeti zaidi. Vipi kuhusu tume ya uchaguzi, ni ile ile ambayo ilifanya maigizo ya ajabu ajabu uchaguzi uliopita? Wanahabari nao wanafanya haki kwa wagombea wote na vyama vyote kwa kufanya 'balanced coverage' ya kampeni? TBCCM inatoa muongozo na mfano mzuri kwa wanahabari wenzao, au ipo chini ya kisigino cha chama tawala? Wafanyakazi wa umma wapo huru kujihusisha na kampeni za vyama wanavyovitaka wao au wamebanwa na 'muajiri' wao? Nina maswali kibao.
Wanatapatapa baada ya kuona tunafanya kampeni za amani na ustasrabu, ingekuwa kwao sasa hivi Nairobi ingekuwa Empty, kila mtu amerudi kijijini kwenye kabila Lake kuogopa kushambuliwa na kabila lingine hapo Nairobi.Wafanyakazi wa umma wajihusishe na siasa? Una matatizo? Yaani madaktari na wenyewe wawe na bendera za kichama huko wodini? Maadili ya kazi hayawaruhusu kuonesha mirengo yao ya kisiasa sababu kazi sio siasa ni taaluma.
Hahahaha, jinga wewe kabisa, huyu alipigwa kwa misingi ya kisiasa au ni vijana walevi wanapigana mtaani?. Weka ushahidi kama hili linahusiana na siasa, unadhani kwasababu ni kipindi cha kampeni basi visa vya watu kupigana na kuchinjana mtaani vitakuwa havipo?, stop your stupidity.
Ushahidi huu apa. Amani sio? Mnafiki mkubwa wewe!
Bado wanabisha kwamba sio failed stateMtu kavunjwa mkono huko!