econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kampeni za urais nchini marekani zimetumia kiasi Cha Dollar Bilioni 15.9 ambazo ni sawa na shilingi Trillioni 39.7 za kitanzania. Kwa maana nyingine ni kwamba pesa zilizotumika kwenye kampeni za urais ni nyingi kiasi Cha kukaribia Bajeti ya mwaka ya Tanzania. Kwakweli Marekani ipo mbali Sana kiuchumi, Kama kiasi hicho ndicho linatumika na wagombea wa urais pekee. Bado counties, representatives, senetors na Governors.
Source: Econonist
Source: Econonist