Kampeni za urais USA zimetumia Shilingi Trillioni 39.7

Kampeni za urais USA zimetumia Shilingi Trillioni 39.7

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Kampeni za urais nchini marekani zimetumia kiasi Cha Dollar Bilioni 15.9 ambazo ni sawa na shilingi Trillioni 39.7 za kitanzania. Kwa maana nyingine ni kwamba pesa zilizotumika kwenye kampeni za urais ni nyingi kiasi Cha kukaribia Bajeti ya mwaka ya Tanzania. Kwakweli Marekani ipo mbali Sana kiuchumi, Kama kiasi hicho ndicho linatumika na wagombea wa urais pekee. Bado counties, representatives, senetors na Governors.

Source: Econonist
 
Kampeni za urais nchini marekani zimetumia kiasi Cha Dollar Bilioni 15.9 ambazo ni sawa na shilingi Trillioni 39.7 za kitanzania. Kwa maana nyingine ni kwamba pesa zilizotumika kwenye kampeni za urais ni nyingi kiasi Cha kukaribia Bajeti ya mwaka ya Tanzania. Kwakweli Marekani ipo mbali Sana kiuchumi, Kama kiasi hicho ndicho linatumika na wagombea wa urais pekee. Bado counties, representatives, senetors na Governors.

Source: Econonist
Za kwetu hutumia kiasi gani? Wazungu wako wazi and transparent sio sie tunao tumia pesa ya bima na tenda na hatuseme kiasi gani kimetumika.
 
Sasa kama tulishaambiwa umeme wanaotumia marekani siku moja, ni sawa na umeme tunaotumia sisi miaka saba ndio unashangaa hilo mkuu, huwa nawashangaa sana watu wanaosubiri anguko la marekani wanafikiri ipo siku itakuja kuwa kama malawi
 
Kampeni za urais nchini marekani zimetumia kiasi Cha Dollar Bilioni 15.9 ambazo ni sawa na shilingi Trillioni 39.7 za kitanzania. Kwa maana nyingine ni kwamba pesa zilizotumika kwenye kampeni za urais ni nyingi kiasi Cha kukaribia Bajeti ya mwaka ya Tanzania. Kwakweli Marekani ipo mbali Sana kiuchumi, Kama kiasi hicho ndicho linatumika na wagombea wa urais pekee. Bado counties, representatives, senetors na Governors.

Source: Econonist
Ila unajua hao watu wanao fadhili hizo kampaini na ma billion ya pesa wana lipwaje badaye?......kwasbb hizo kampaini husimamiwa na kampuni ma watu binafsi kwa kitoa pesa zao.
 
Sasa kama tulishaambiwa umeme wanaotumia marekani siku moja, ni sawa na umeme tunaotumia sisi miaka saba ndio unashangaa hilo mkuu, huwa nawashangaa sana watu wanaosubiri anguko la marekani wanafikiri ipo siku itakuja kuwa kama malawi
😬😬😬 Hii ni kweli???
 
😬😬😬 Hii ni kweli???
1731052597875.png


1731052700044.png


4.07T kWh/ (7.93 + 9.02)B kWh = 240 years!!!

Au naota?
 
Za kwetu hutumia kiasi gani? Wazungu wako wazi and transparent sio sie tunao tumia pesa ya bima na tenda na hatuseme kiasi gani kimetumika.

Nadhani kwetu kampeni ya chama isizidi milioni 700
 
Sasa kama tulishaambiwa umeme wanaotumia marekani siku moja, ni sawa na umeme tunaotumia sisi miaka saba ndio unashangaa hilo mkuu, huwa nawashangaa sana watu wanaosubiri anguko la marekani wanafikiri ipo siku itakuja kuwa kama malawi

Marekani kuanguka sio Leo Wala kesho. Na ikianguka nchi nyingi za kimaskini Kama zetu zitaanguka.
 
Ila unajua hao watu wanao fadhili hizo kampaini na ma billion ya pesa wana lipwaje badaye?......kwasbb hizo kampaini husimamiwa na kampuni ma watu binafsi kwa kitoa pesa zao.
Ufadhili uko wazi na Kamala alipewa mchango mkubwa zaidi. Na kuna kampuni zilichangia wote, na kila mgombea anaweza omba kuchangiwa kwa yeyote ila sharti hela unayopewa useme ni kiasi gani na imetoka kwa nani.

Mfano Trump sera zake ni kupiga kodi kubwa magari yanayozalishwa nje ya Marekani, tiyari makampuni ya magari Marekani kama Ford yanaona yatafanikiwa zaidi Trump akiwa Marekani hivyo yanashawishika kumchangia ili aendeleze kampeni zake na ashawishi raia wampe kura.

Wakati kwa kampuni za kuuza silaha zinaona Trump hataki kutoa misaada ya silaha na kupiganisha vita hivyo hazitauza kwenye utawala wake. Zinashawishika kumchangia Kamala.
 
Mbona wametumia kias kidogo sana cha pesa ?
Kampeni za urais nchini marekani zimetumia kiasi Cha Dollar Bilioni 15.9 ambazo ni sawa na shilingi Trillioni 39.7 za kitanzania. Kwa maana nyingine ni kwamba pesa zilizotumika kwenye kampeni za urais ni nyingi kiasi Cha kukaribia Bajeti ya mwaka ya Tanzania. Kwakweli Marekani ipo mbali Sana kiuchumi, Kama kiasi hicho ndicho linatumika na wagombea wa urais pekee. Bado counties, representatives, senetors na Governors.

Source: Econonist
 
Ila unajua hao watu wanao fadhili hizo kampaini na ma billion ya pesa wana lipwaje badaye?......kwasbb hizo kampaini husimamiwa na kampuni ma watu binafsi kwa kitoa pesa zao.

Sidhani Kama wanalipwa. Ni utaratibu wa kawaida kuchangia wagombea urais.
 
Sasa kama tulishaambiwa umeme wanaotumia marekani siku moja, ni sawa na umeme tunaotumia sisi miaka saba ndio unashangaa hilo mkuu, huwa nawashangaa sana watu wanaosubiri anguko la marekani wanafikiri ipo siku itakuja kuwa kama malawi
Why malawi?!🤣
 
Back
Top Bottom