cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Makubwa! Kumbe lipstick sio zake jamani.Huyu nae OK
Lipstick za Mr P Solved kwa jina lake wema kutumika ndani ya wiki moja sijyi baada ya siku mbili zilishuka bei toka 40k hadi 20k na sasa sijui zimefikia bei gani.
Naona GPL bado wanamsaidia kutafuta kiki...
Mr solved majuto yamemjaaaa chezea kutokujua hakuna ntota wafuaai wake wengi mb za kududuliza tu.
Habari za jioni[emoji124]"kwani wanaamini mtoto huyo atakuwa kivutio kikubwa."
Upumbavu to the nth degree!
Eti mtoto atakuwa kivutio kikubwa! Sababu?
Atakuwa na mapembe huyo mtoto? Atakuwa na mkia labda?
Kama atakuwa kivutio kikubwa si wampeleke kwenye zoo huko watu wawe wanalipia hela kwenda kumwona.
Haya wale wenye kutokwa povu kwenye matundu yote mliyonayo nakaribisha matusi yenu😀.
Kama una ubavu ni quote twende toe to toe ila kama huna unaweza ukanitukana bila kuninukuu na kusepa.
hawa Team viwavi wako kama wameshikiwa akili vileHivi kwa mfano huyo mtoto akizaliwa ana Down's syndrome je?
Hapo si ndo atakuwa kivutio zaidi?
Teh teh teh...eti timu vi.ja.mbio.....akili zao ndogo hao.
Wanachojua ni kusonya na kutukana tu.
Huwezi kabisa ukajadili nao jambo kistaarabu na kwa kutumia akili.
Sasa subiri uone....naona kamoja tayari kameshaanza.
Ah wapi...siwezi kukwaruzana na lightweights.
Haitakuwa fair kabisa. Vijitu vyenyewe vinaniogopa. Teh teh teh.
Ndo maana nasubiri tu hayo matusi nione kama kutakuwa na jipya.
Subiri sasa uone watakavyofura....they are so predictable.
Alikuwa demu Wako SI bure, hakuna anaemuogopa mtu humu, usitishie watu babue"kwani wanaamini mtoto huyo atakuwa kivutio kikubwa."
Upumbavu to the nth degree!
Eti mtoto atakuwa kivutio kikubwa! Sababu?
Atakuwa na mapembe huyo mtoto? Atakuwa na mkia labda?
Kama atakuwa kivutio kikubwa si wampeleke kwenye zoo huko watu wawe wanalipia hela kwenda kumwona.
Haya wale wenye kutokwa povu kwenye matundu yote mliyonayo nakaribisha matusi yenu😀.
Kama una ubavu ni quote twende toe to toe ila kama huna unaweza ukanitukana bila kuninukuu na kusepa.
povu limeanzaAlikuwa demu Wako SI bure, hakuna anaemuogopa mtu humu, usitishie watu babue
Aah! Fundi kashaunga bomba kamaliza.ha ha ha
pengne hatakuwa na KIRUSI cha ZIKA au labda itakuwa namna hii
hapo ndo mvuto utaongezeka 7bu .....
Hahaha mkuu unadhambi sana [emoji1] [emoji1] "Mtoto au upepo
Kwa sasa lipstick ni elfu kumi tu,zitafika mpaka elfu 5 team wema jeshi kubwa ila wanashindwa kumsupport madame waoHuyu nae OK
Lipstick za Mr P Solved kwa jina lake wema kutumika ndani ya wiki moja sijyi baada ya siku mbili zilishuka bei toka 40k hadi 20k na sasa sijui zimefikia bei gani.
Naona GPL bado wanamsaidia kutafuta kiki...
Mr solved majuto yamemjaaaa chezea kutokujua hakuna ntota wafuaai wake wengi mb za kududuliza tu.
Kweli binadam wabaya auze kei tu maisha yasonge jina haliuz hata rangi za mdomoKwa sasa lipstick ni elfu kumi tu,zitafika mpaka elfu 5 team wema jeshi kubwa ila wanashindwa kumsupport madame wao
Akitoa post ya lipstick comments 60 akitoa post ya wanaume comments 2000 kwa haraka haraka waweza jua akili za team wema zilivo, wale labda wauziwe kwa mafungu lipstick 3 tsh, 500..... Kuna kimtu humu hata jina sikikumbuki nilikiambia lipstick ni za Mr problem solved kilishupaza shingo kama Kinataka kukata rohoHuyu nae OK
Lipstick za Mr P Solved kwa jina lake wema kutumika ndani ya wiki moja sijyi baada ya siku mbili zilishuka bei toka 40k hadi 20k na sasa sijui zimefikia bei gani.
Naona GPL bado wanamsaidia kutafuta kiki...
Mr solved majuto yamemjaaaa chezea kutokujua hakuna ntota wafuaai wake wengi mb za kududuliza tu.
Kwanini hizo kampuni zisimtumie Wema mwenyewe maana hana Endorsement yeyote zaidi ya kuuza Nyapu hapa Town.Mambo ya kutaka kushindana na mtu kwa kumuiga ni UBOLIZOZO.Kampuni 3 Zamtaka Mtoto wa Wema
- February 3, 2016
Kampuni tatu zimejitokeza kutaka kumtumia kibiashara mtoto atakayezaliwa baada ya staa wa filamu Wema Sepetu kujifungua baadaye mwaka huu.
Chanzo cha uhakika kilicho karibu na staa huyo, kimesema kampuni hizo ambazo hakuzitaja kwa kushindwa kukariri majina yake, zimeshafanya mazungumzo ya awali na Wema, kwani wanaamini mtoto huyo atakuwa kivutio kikubwa.
“Hivi ninavyokuambia licha ya kampuni hizo, tayari wengine wamejitokeza na kudai watamvalisha kwa muda wa mwaka mzima mtoto huyo,” kilisema chanzo hicho.
Gazeti hili lilimtafuta muigizaji huyo na kuulizia juu ya ishu hiyo, ambapo alicheka na kudai hayuko katika nafasi nzuri kwa muda huo ili kuzungumzia suala hilo hadi hapo baadaye.
“Kwa sasa ni mapema mno kuzungumzia hilo jambo, nitaweka wazi baadaye,” alisema Wema
Chanzo: GPL