Kampuni 3 Zamtaka Mtoto wa Wema

Kampuni 3 Zamtaka Mtoto wa Wema

Huyu nae OK

Lipstick za Mr P Solved kwa jina lake wema kutumika ndani ya wiki moja sijyi baada ya siku mbili zilishuka bei toka 40k hadi 20k na sasa sijui zimefikia bei gani.

Naona GPL bado wanamsaidia kutafuta kiki...
Mr solved majuto yamemjaaaa chezea kutokujua hakuna ntota wafuaai wake wengi mb za kududuliza tu.
 
Hii kiki naona kama imekataa au sijui ndio muda bado maana naona Idris bize na interview lakini nyota aing'ai. Ngojea tuendelee kutazama.
 
Huyu nae OK

Lipstick za Mr P Solved kwa jina lake wema kutumika ndani ya wiki moja sijyi baada ya siku mbili zilishuka bei toka 40k hadi 20k na sasa sijui zimefikia bei gani.

Naona GPL bado wanamsaidia kutafuta kiki...
Mr solved majuto yamemjaaaa chezea kutokujua hakuna ntota wafuaai wake wengi mb za kududuliza tu.
Makubwa! Kumbe lipstick sio zake jamani.
 
"kwani wanaamini mtoto huyo atakuwa kivutio kikubwa."

Upumbavu to the nth degree!

Eti mtoto atakuwa kivutio kikubwa! Sababu?

Atakuwa na mapembe huyo mtoto? Atakuwa na mkia labda?

Kama atakuwa kivutio kikubwa si wampeleke kwenye zoo huko watu wawe wanalipia hela kwenda kumwona.

Haya wale wenye kutokwa povu kwenye matundu yote mliyonayo nakaribisha matusi yenu😀.

Kama una ubavu ni quote twende toe to toe ila kama huna unaweza ukanitukana bila kuninukuu na kusepa.
Habari za jioni[emoji124]
 
Leaves me wondering where is our society heading to, that is a bastard child!! Gets all centre of attention?? What are we teaching our kids... It's okay to get banged outside of marriage get as many bastard kids as you can. Fill this great country with bastard kids!
 
Hivi kwa mfano huyo mtoto akizaliwa ana Down's syndrome je?

Hapo si ndo atakuwa kivutio zaidi?

Teh teh teh...eti timu vi.ja.mbio.....akili zao ndogo hao.

Wanachojua ni kusonya na kutukana tu.

Huwezi kabisa ukajadili nao jambo kistaarabu na kwa kutumia akili.

Sasa subiri uone....naona kamoja tayari kameshaanza.
hawa Team viwavi wako kama wameshikiwa akili vile
 
Ah wapi...siwezi kukwaruzana na lightweights.

Haitakuwa fair kabisa. Vijitu vyenyewe vinaniogopa. Teh teh teh.

Ndo maana nasubiri tu hayo matusi nione kama kutakuwa na jipya.

Subiri sasa uone watakavyofura....they are so predictable.


Hahahahah

Mkuu naomba usiondoke tuu maana watakujaa

Nahisi saa hizi wapo insta kuna mtu wanamchamba

Halafu wote kwa umoja wao watahamia kwako mpaka watakapolala saa tisa halafu wakiamka waendelee na wewe

Hayo ndio maisha yao kwa ufupi
 
"kwani wanaamini mtoto huyo atakuwa kivutio kikubwa."

Upumbavu to the nth degree!

Eti mtoto atakuwa kivutio kikubwa! Sababu?

Atakuwa na mapembe huyo mtoto? Atakuwa na mkia labda?

Kama atakuwa kivutio kikubwa si wampeleke kwenye zoo huko watu wawe wanalipia hela kwenda kumwona.

Haya wale wenye kutokwa povu kwenye matundu yote mliyonayo nakaribisha matusi yenu😀.

Kama una ubavu ni quote twende toe to toe ila kama huna unaweza ukanitukana bila kuninukuu na kusepa.
Alikuwa demu Wako SI bure, hakuna anaemuogopa mtu humu, usitishie watu babue
 
ha ha ha
pengne hatakuwa na KIRUSI cha ZIKA au labda itakuwa namna hii

35df4f24bcd2713ca2b68ab515ec2ab0.jpg


hapo ndo mvuto utaongezeka 7bu .....
Aah! Fundi kashaunga bomba kamaliza.
 
Huyu nae OK

Lipstick za Mr P Solved kwa jina lake wema kutumika ndani ya wiki moja sijyi baada ya siku mbili zilishuka bei toka 40k hadi 20k na sasa sijui zimefikia bei gani.

Naona GPL bado wanamsaidia kutafuta kiki...
Mr solved majuto yamemjaaaa chezea kutokujua hakuna ntota wafuaai wake wengi mb za kududuliza tu.
Kwa sasa lipstick ni elfu kumi tu,zitafika mpaka elfu 5 team wema jeshi kubwa ila wanashindwa kumsupport madame wao
 
Kwa sasa lipstick ni elfu kumi tu,zitafika mpaka elfu 5 team wema jeshi kubwa ila wanashindwa kumsupport madame wao
Kweli binadam wabaya auze kei tu maisha yasonge jina haliuz hata rangi za mdomo
 
Huyu nae OK

Lipstick za Mr P Solved kwa jina lake wema kutumika ndani ya wiki moja sijyi baada ya siku mbili zilishuka bei toka 40k hadi 20k na sasa sijui zimefikia bei gani.

Naona GPL bado wanamsaidia kutafuta kiki...
Mr solved majuto yamemjaaaa chezea kutokujua hakuna ntota wafuaai wake wengi mb za kududuliza tu.
Akitoa post ya lipstick comments 60 akitoa post ya wanaume comments 2000 kwa haraka haraka waweza jua akili za team wema zilivo, wale labda wauziwe kwa mafungu lipstick 3 tsh, 500..... Kuna kimtu humu hata jina sikikumbuki nilikiambia lipstick ni za Mr problem solved kilishupaza shingo kama Kinataka kukata roho
 
Kampuni 3 Zamtaka Mtoto wa Wema
  • February 3, 2016


Kampuni tatu zimejitokeza kutaka kumtumia kibiashara mtoto atakayezaliwa baada ya staa wa filamu Wema Sepetu kujifungua baadaye mwaka huu.

Chanzo cha uhakika kilicho karibu na staa huyo, kimesema kampuni hizo ambazo hakuzitaja kwa kushindwa kukariri majina yake, zimeshafanya mazungumzo ya awali na Wema, kwani wanaamini mtoto huyo atakuwa kivutio kikubwa.

“Hivi ninavyokuambia licha ya kampuni hizo, tayari wengine wamejitokeza na kudai watamvalisha kwa muda wa mwaka mzima mtoto huyo,” kilisema chanzo hicho.

Gazeti hili lilimtafuta muigizaji huyo na kuulizia juu ya ishu hiyo, ambapo alicheka na kudai hayuko katika nafasi nzuri kwa muda huo ili kuzungumzia suala hilo hadi hapo baadaye.
“Kwa sasa ni mapema mno kuzungumzia hilo jambo, nitaweka wazi baadaye,” alisema Wema

Chanzo: GPL
Kwanini hizo kampuni zisimtumie Wema mwenyewe maana hana Endorsement yeyote zaidi ya kuuza Nyapu hapa Town.Mambo ya kutaka kushindana na mtu kwa kumuiga ni UBOLIZOZO.
3363255_monkeyteeth_jpeg92fe82fc2a2ec88781193ee22cb6dced
 
Back
Top Bottom