Kaulize akina Mwajuma ndalandefu wote wanaotukana matusi ya mwaka 56 insta kama wamenunua.Huyu nae OK
Lipstick za Mr P Solved kwa jina lake wema kutumika ndani ya wiki moja sijyi baada ya siku mbili zilishuka bei toka 40k hadi 20k na sasa sijui zimefikia bei gani.
Naona GPL bado wanamsaidia kutafuta kiki...
Mr solved majuto yamemjaaaa chezea kutokujua hakuna ntota wafuaai wake wengi mb za kududuliza tu.
Kila uboho anaouonja Wema ni sherehe kwa team Wema.Akitoa post ya lipstick comments 60 akitoa post ya wanaume comments 2000 kwa haraka haraka waweza jua akili za team wema zilivo, wale labda wauziwe kwa mafungu lipstick 3 tsh, 500..... Kuna kimtu humu hata jina sikikumbuki nilikiambia lipstick ni za Mr problem solved kilishupaza shingo kama Kinataka kukata roho
Kiss inanukia kama plastick.Nlikuonaga unapaka the kiss
Post kibaoo kumbe pumba tupu"kwani wanaamini mtoto huyo atakuwa kivutio kikubwa."
Upumbavu to the nth degree!
Eti mtoto atakuwa kivutio kikubwa! Sababu?
Atakuwa na mapembe huyo mtoto? Atakuwa na mkia labda?
Kama atakuwa kivutio kikubwa si wampeleke kwenye zoo huko watu wawe wanalipia hela kwenda kumwona.
Haya wale wenye kutokwa povu kwenye matundu yote mliyonayo nakaribisha matusi yenu😀.
Kama una ubavu ni quote twende toe to toe ila kama huna unaweza ukanitukana bila kuninukuu na kusepa.
Ha ha ha wala sishangai kuchambwa, Luis munana mwenyewe alikua shem shem sahivi anapokea vichambo eti alienda kwenye birthday mikono mitupu ha ha ha hawa watu ni shidaKila uboho anaouonja Wema ni sherehe kwa team Wema.
Ajabu sana.Huyu Idriss sura ndefu aliwahi kuchambwa kisa kaenda Whiteparty kabla hawajajua kama anapiga madame kimya kimya.
Kuna mtu alisema et lipstick zinaweka utundu mdomoni tehKiss inanukia kama plastick.
Wanapaka Mac afu wanashika kiss wanapiga picha.
Leaves me wondering where is our society heading to, that is a bastard child!! Gets all centre of attention?? What are we teaching our kids... It's okay to get banged outside of marriage get as many bastard kids as you can. Fill this great country with bastard kids!
Akitoa post ya lipstick comments 60 akitoa post ya wanaume comments 2000 kwa haraka haraka waweza jua akili za team wema zilivo, wale labda wauziwe kwa mafungu lipstick 3 tsh, 500..... Kuna kimtu humu hata jina sikikumbuki nilikiambia lipstick ni za Mr problem solved kilishupaza shingo kama Kinataka kukata roho
Kwa sasa lipstick ni elfu kumi tu,zitafika mpaka elfu 5 team wema jeshi kubwa ila wanashindwa kumsupport madame wao
Akitoa post ya lipstick comments 60 akitoa post ya wanaume comments 2000 kwa haraka haraka waweza jua akili za team wema zilivo, wale labda wauziwe kwa mafungu lipstick 3 tsh, 500..... Kuna kimtu humu hata jina sikikumbuki nilikiambia lipstick ni za Mr problem solved kilishupaza shingo kama Kinataka kukata roho
Kaulize akina Mwajuma ndalandefu wote wanaotukana matusi ya mwaka 56 insta kama wamenunua.
Hata Wema mwenyewe sidhani kabisa kama anapaka yale macheap chemical.
a reply from an intelligent person...Bora Sudan na Somali kuliko kuishi kwenye bahari ya wapumbavu,utumwa wa fikra ni mbaya kuliko hata vita ya Somalia
Yani wema angepewa akili za lulu sahivi tungekua tunamsikia tu kwa mbaliiiBiashara hawezi labda afanye biashura mana ndio wateja wengi plus comments za kutosha.....ukiwa n binti yako wa sec then akuambie anampenda wema jua ni hasara hapo.....huyu bwege angekua mbunifu angefika mbali kimaendeleo....chibu n wife wanapasua anga 2 na kuongeza $ tu
Hahahahahaha, kwani vipi ndugu unahisi team wema watatoa mapovu?Ila vitu vingine ni vya kustaajabisha kama hayo yaloandikwa ni ya kweli.Icho kiumbe hata bado hakijakamilika huko tumboni, eti atakua kivutio, wanampangia Mungu."kwani wanaamini mtoto huyo atakuwa kivutio kikubwa."
Upumbavu to the nth degree!
Eti mtoto atakuwa kivutio kikubwa! Sababu?
Atakuwa na mapembe huyo mtoto? Atakuwa na mkia labda?
Kama atakuwa kivutio kikubwa si wampeleke kwenye zoo huko watu wawe wanalipia hela kwenda kumwona.
Haya wale wenye kutokwa povu kwenye matundu yote mliyonayo nakaribisha matusi yenu😀.
Kama una ubavu ni quote twende toe to toe ila kama huna unaweza ukanitukana bila kuninukuu na kusepa.
Hahahahahaha, kwani vipi ndugu unahisi team wema watatoa mapovu?Ila vitu vingine ni vya kustaajabisha kama hayo yaloandikwa ni ya kweli.Icho kiumbe hata bado hakijakamilika huko tumboni, eti atakua kivutio, wanampangia Mungu.
Hatuombei mabaya, kwa mfano akizaa mlemavu itakuaje?Badala amuombe Mungu mtoto akue vizuri kutwa kuitangaza mimba.Anafikiri kila mtu anamtakia mema.
Yani wema angepewa akili za lulu sahivi tungekua tunamsikia tu kwa mbaliii
Mie hata mimba sijaiona bado nasikia tu ana mimbaakili hiyo aitoe wapi yeye n team yke wko kma nyumbu....akivuka mmoja wote wanafuata hivi mtoto hajazaliwa mnampa promo...mungu ndie hupanga je akizaliwa n shida watasifia nini smtym wanamkejeli muumba