Kampuni ama mabus ambayo yanaaminika kusafirisha mizigo/vifurushi dar to bukoba

Rweye

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,057
Reaction score
7,611
Wadau wa usafirishaji naomba kujuzwa kama kuna kampuni ama bus ambalo naweza kutumia kusafirishia mizigo yangu kutoka bukoba kuja dar. Mizigo ni music system, mtungi wa gesi mtupu na jokofu(Friji)
 
Wadau wa usafirishaji naomba kujuzwa kama kuna kampuni ama bus ambalo naweza kutumia kusafirishia mizigo yangu kutoka bukoba kuja dar. Mizigo ni music system, mtungi wa gesi mtupu na jokofu(Friji)
 

Attachments

  • tapatalk_1547704308127.jpeg
    28.2 KB · Views: 21
Wadau wa usafirishaji naomba kujuzwa kama kuna kampuni ama bus ambalo naweza kutumia kusafirishia mizigo yangu kutoka bukoba kuja dar. Mizigo ni music system, mtungi wa gesi mtupu na jokofu(Friji)
Dar lux wako vzr sana na wanazingatia usalama wa mizigo ya mteja. Ila bei yao iko juu kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…