Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Karibuni wadau!
Naomba kuuliza kwa nia njema sana maana mimi pia nina uzoefu usajili wa makampuni, jina la biashara na taasisi mbali mbali.
Nina kiu ya kujua machache tu juu ya makampuni binafsi ya kufanya protocol kwenye event za serikali na taasisi zake.
Maswali yangu machache;
1. Je, vetting yake ipoje haswa kwenye usalama wa taarifa muhimu za taasisi na viongozi.
2. Je, zinapitia na kupata mafunzo rasmi wapi na wanakuwa na vyeti?
3. Je, zinapitia kwenye mfumo rasmi wa tender kwenye taasisi za serikali.
4. Je, integrity yake haswa kwenye corruption na baadhi ya viongozi wa taasisi inapimwa vizuri?
NB; Wadau ambao mpo kwenye hizo taasisi, na wamiliki wa hizo kampuni na viongozi msininukuu vibaya nia yangu ni kujenga taasisi imara sana ili kuisaidia serikali na kupata kipato stahiki.
Nawasilisha.
Naomba kuuliza kwa nia njema sana maana mimi pia nina uzoefu usajili wa makampuni, jina la biashara na taasisi mbali mbali.
Nina kiu ya kujua machache tu juu ya makampuni binafsi ya kufanya protocol kwenye event za serikali na taasisi zake.
Maswali yangu machache;
1. Je, vetting yake ipoje haswa kwenye usalama wa taarifa muhimu za taasisi na viongozi.
2. Je, zinapitia na kupata mafunzo rasmi wapi na wanakuwa na vyeti?
3. Je, zinapitia kwenye mfumo rasmi wa tender kwenye taasisi za serikali.
4. Je, integrity yake haswa kwenye corruption na baadhi ya viongozi wa taasisi inapimwa vizuri?
NB; Wadau ambao mpo kwenye hizo taasisi, na wamiliki wa hizo kampuni na viongozi msininukuu vibaya nia yangu ni kujenga taasisi imara sana ili kuisaidia serikali na kupata kipato stahiki.
Nawasilisha.