Chagua Alaf, ndugu🤔Wadau poleni na majukumu nakuja mbele ya jukwaa nikiomba ushauri wa kampuni nzuri inayouza mabati kwa ajili ya kuezekea. Nimeuliza mafundi kadhaa wamenishauri nitumie migongo mipana lakini sijajua kampuni ipi nzuri itanifaa naombeni mwenye uzoefu juu ya ubora na kampuni nzuri anisaidie please niko DSM.
Bei sina ila ukitembelea mawakala wao ni vizuri utapata bei zisizo na ujanjaujanjaAsante sana mkuu unaweza kuwa na rough cost zao kwa batibza IT4&5?
Hakuna kupauka ama kupata kutu,miezi kadhaa baada ya kutundikwa kwenye paa,ila kutegemea na uwezo na mahitaji angalia gauge size.Uimara wake ukoje ndugu?
Ni ALAF mkuu. Hakuna kama alafWadau poleni na majukumu nakuja mbele ya jukwaa nikiomba ushauri wa kampuni nzuri inayouza mabati kwa ajili ya kuezekea.
Nimeuliza mafundi kadhaa wamenishauri nitumie migongo mipana lakini sijajua kampuni ipi nzuri itanifaa naombeni mwenye uzoefu juu ya ubora na kampuni nzuri anisaidie please niko DSM.
Ipi bora kati ya Ando na SunshareAlaf
Umeshindwa kabisa basi ni sunshare au ando
Hapo basi
Ando kwa maono yanguIpi bora kati ya Ando na Sunshare
kabisa nimejenga miradi mikubwa ya gorofa unakuta boq imeandikwa roofing sheets to be used are manufactured by alaf onlyAlaf the great
hizo nazo ni foil nduguAndo kwa maono yangu
Sunbank mabati ni bati nzuri sana nzenye ubora zaidi na ni nafuu na alafuWadau poleni na majukumu nakuja mbele ya jukwaa nikiomba ushauri wa kampuni nzuri inayouza mabati kwa ajili ya kuezekea.
Nimeuliza mafundi kadhaa wamenishauri nitumie migongo mipana lakini sijajua kampuni ipi nzuri itanifaa naombeni mwenye uzoefu juu ya ubora na kampuni nzuri anisaidie please niko DSM.
Sawahizo nazo ni foil ndugu