Huyu mkuu anazani Kampuni inauzwa kama mtu anavyo uza MIWA, ni lazima iwe na maelezo ya kufa mtu ya kumshawishi mtu anunue kampuni, na nahisi mtoa maada anauza Jina la Kampuni na si Kazi za kampuni, make ndo ile unanunua halafu unaambiwa Tafuta ofisi yako, vitendea kaz, wafanyakazi na kazalika yaani unakuwa umeuziwa jina,
HALAFU MTOA MAADA KAINGIA MITINI, NA HII INAONYESHA WATANZANIA TULIVYO WASANII WA KUFA MTU, HUU SI UJANJA HATA KIDOGO NI UTOTO NA UJINGA, HUWEZI LETA THREAD HALAFU BADALA YA KUKAA KUJIBU HOJA UNAINGIA MITINI UNABAKIA KUCHUNGULIA KUONA KAMA MITEGO YAKO IMEKAMATA NDEGE,