Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?

Nyaraka zenye habari fake? Hujui Rais (mgombea) mwenye taarifa za uongo hafai kupewa madaraka maana ni muongo na anatupotosha hivyo hataaminika?
Jee Mayanga ya kwake au sio yake? Ana uhusiano gani na hiyo kampuni?
 
Nyaraka zenye habari fake? Hujui Rais (mgombea) mwenye taarifa za uongo hafai kupewa madaraka maana ni muongo na anatupotosha hivyo hataaminika?
Jee Mayanga ya kwake au sio yake? Ana uhusiano gani na hiyo kampuni?
unanilizq mimi nitqkusaidiaje? nenda BRELA kaombe search,siasa hizo za uzushi zilisumbua sana zama za Jakaya
 
@salary Slip nakuita mara 3
 
Aiseee!!!!ukabila mtupu *****
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…