Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,641
Mfanyakazi wa @Google akifariki, kampuni hiyo humlipa mwenza-wake 50% ya mshahara wake kwa miaka 10. Pia mtoto/watoto wako watapokea USD 1,000 (Tsh. Milioni 2.3) kila mwezi hadi watakapofikisha umri wa miaka 19 (au miaka 23 kama ni mwanafunzi).
Makampuni ya Kitanzania ( Kibongo ) nanyi pia wala hamjachelewa kabisa Kuiga mema ya hii Kampuni ya Google ili mbarikiwe.
Makampuni ya Kitanzania ( Kibongo ) nanyi pia wala hamjachelewa kabisa Kuiga mema ya hii Kampuni ya Google ili mbarikiwe.