KAMPUNI MABASI YA DAR TANZANIA

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Receivership tho!

Hata KQ na hyo loss yote haiwes enda receivership ikiamua ku operate kenya pekee .....
Yaani mnahangaika kama yenu. Bha
Receivership already????I thought they have not even been launched???Si Danganyikans did free rides all day long...Ushamba wanayo hawana???
 
Soma habari uelewe, hayo madeni ya hiyo kampuni ni ya muda mrefu na hayahusiani na mradi wa mabasi ya mwendokasi.
Yaani wakenya wanapenda kunona tanzania inashuka. Na bado yaani mpaka watatamani kuhamia TANZANIA
 
Kwenu yapo. Shame on you
 
Nadhan hujaelewa kilichowekwa under receivership ni Mali zote za simon group kwa mkopo Wa kitambo na kinachochukuliwa n 51% ya hisa zake
Yaani hata hawajui uhusiano wa simon group na serikali umeanza lin. Wao wanajaaa upepo kama mali ya kwao.
 
Kwenu yapo
 
Hawa ndo waliomba magufuli akawe president kenya angalau kwa mwezi mmoja
 
Hata kama ni mia mbili how does a parastatal go into receivership less than A year since inception [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] peleka ujamaa mbali
Simon group wanadaiwa madeni ya nyuma tofauti na mradi huu.
 
Akili zao wanadhani simon group wanamiliki mradi mmoja
 
Hata ukijitetea how does this go into a receivership its not even 7months since!!!


Hautaruka story!!
Soma hii comment utaelewa
 
Che road ilivokuwa safi. Kenya hii ipo ????
 
Kameze wembe We mla Albino.Kike ni wewe jambazi kabisa.Do you have to mention Kenya in your sour nasty flimsy and lazy arguments.Get a life.
Na utatoka mapovu sana. Umeitaka mwenyewe. Sasa unaona ngumu kumeza eh!!!
 
If that makes you happy so be it....Good night
Yaani saivi mtafyata mikia na [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] midomo yenu
 
Asante kwa comment murua.
 
Kunakitu inaitwa purchasing power uko hapo. Hiyo inflation inafanya maisha yanapanda bei
 
Mkuu hii kitu acha kabisa. Njoo Dar es salaam sikumoja. I hope utaenda mshauri yule babuyenu kibaki nae afanye hivo kenya. Naona roho inakuuma. Omba urai wa Tanzania basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…