Kampuni ya Adventure na tikects online

Kampuni ya Adventure na tikects online

ngarawatch

Member
Joined
Jun 26, 2024
Posts
24
Reaction score
14
Ni Jumanne saa 4 asubuhi unahitaji kusafiri siku inayofuata ya Jumatano August 14,2024, ķutoka Mwanza kwenda Kigoma! Unaingia katika mtandao kutafuta usafiri.

Jina la kampuni maarufu inayofanya safari zake njia hiyo, linakuja Adventure. Unaamua kufanya Adventure kwa kutumia mabasi yao.


Unainggia latika Portal yao na unachagua seat kisha unalipia na kupewa risiti ya mtandao yenye namba 9201399383. Reporting time 5:00 Am. Departure 6:00 Am 14.8.2024.

Unadamka Stand ya Nyegezi, saa 5:10 AM. Kufika, lahaula, hakuna gari, hakuna agent, hakuna mhusika yoyote.

Agent wa badi la kampuni ya takbir anasema hawajafika hivyo nisubiri! Saa 5:30, gari haijafika? Hakuna wa kumuuliza. Unamfuata askari ambaye baada yavkukaguua ticket tunaambatana hadi eneo walikozoea kuegesha. Mpiga debe mmoja anasema, afande bora umekuja, hawa wanataka basibla adventure, nawaambia hakuna la alfajiri lilo la jioni, hawaelewi! Kuonyeshwa ticket, akapotea.

Mara, anajitokeza agent, anapewa jukumu la kumaliza issue hii! Kumuuliza anasema yeye hana taarifa hivyo, afanye mawasiliano na kuagizwa atafute usafiri mwingine kwa abiria huyo!

Unatafutwa usafiri wa basi jingine la takbir. Seat tofauti abiria wamejaa hadi kina askari wamesimama na jamaa mmoja anasafiti na vifaranga ndani ya basi, burdani?

Sasa, nyie kampuni ya Adventure, kama kuna changamoro zimetokea, namba za simu mnazoomba wakati wa kukata ticket omline ni za nini? Pia ticket zenu za online ziwe na namva ya simu ili abiria apate maelekezo.
 
Hyo njia bana inahitaji maji ya upako ili ikae sawa.
Hao waarabu wa saratoga na adventure wamezoea kuendesha mambo yao kienyeji kwa sababu wamekaa muda mrefu wakijitawala.
Sasa hv nmeona na yehova yire naye kaweka gari hyo njia japo changamoto n lukuki.
 
Hyo njia bana inahitaji maji ya upako ili ikae sawa.
Hao waarabu wa saratoga na adventure wamezoea kuendesha mambo yao kienyeji kwa sababu wamekaa muda mrefu wakijitawala.
Sasa hv nmeona na yehova yire naye kaweka gari hyo njia japo changamoto n lukuki.
Ni suala la.muda tu kabla mambo haya hayajamalizika. Ukishindwa kwenda na mabadiliko, mabadiliko yatakubadilisha.
 
Hyo njia bana inahitaji maji ya upako ili ikae sawa.
Hao waarabu wa saratoga na adventure wamezoea kuendesha mambo yao kienyeji kwa sababu wamekaa muda mrefu wakijitawala.
Sasa hv nmeona na yehova yire naye kaweka gari hyo njia japo changamoto n lukuki.
Hiyo njia ina umafia mkubwa saana (uchawi & ujambazi japo ujambazi miaka ya karibuni haupo)

Adventure na Saratoga walichukua nafasi ya Zainabu coach na fadhiri mawese coach miaka ya 2000 huko

Mwaka 2010 ikaingia kampuni moja ya kichina Golden enter city ikawa inatoka mwanza saa 12 asubuhi inafika kigoma saa 8 mpaka 9 mchana ikapata wateja wengi saana sababu hayo makampuni kongwe yalikuwa yanafika kuanzia saa 1 jioni baada ya hapo hayo makampuni kongwe mawili yakampiga mchina tukio
Walikodisha majambazi Golden enter city ikapigwa risasi zaidi ya 800 alafu majambazi hawakuiba kitu
GOLDEN ENTER CITY WAHA WAKAIOGOPA IKATOWEKA

Sumry alikimbia hiyo njia
Sesabosa alikimbia njia

Yehova yire anatoa upinzani mkali kwa sababu ni mzawa but now day kapata skendo ya kumtoa kafara mke wake na mama yake
 
Ni Jumanne saa 4 asubuhi unahitaji kusafiri siku inayofuata ya Jumatano August 14,2024, ķutoka Mwanza kwenda Kigoma! Unaingia katika mtandao kutafuta usafiri.

Jina la kampuni maarufu inayofanya safari zake njia hiyo, linakuja Adventure. Unaamua kufanya Adventure kwa kutumia mabasi yao.


Unainggia latika Portal yao na unachagua seat kisha unalipia na kupewa risiti ya mtandao yenye namba 9201399383. Reporting time 5:00 Am. Departure 6:00 Am 14.8.2024.

Unadamka Stand ya Nyegezi, saa 5:10 AM. Kufika, lahaula, hakuna gari, hakuna agent, hakuna mhusika yoyote.

Agent wa badi la kampuni ya takbir anasema hawajafika hivyo nisubiri! Saa 5:30, gari haijafika? Hakuna wa kumuuliza. Unamfuata askari ambaye baada yavkukaguua ticket tunaambatana hadi eneo walikozoea kuegesha. Mpiga debe mmoja anasema, afande bora umekuja, hawa wanataka basibla adventure, nawaambia hakuna la alfajiri lilo la jioni, hawaelewi! Kuonyeshwa ticket, akapotea.

Mara, anajitokeza agent, anapewa jukumu la kumaliza issue hii! Kumuuliza anasema yeye hana taarifa hivyo, afanye mawasiliano na kuagizwa atafute usafiri mwingine kwa abiria huyo!

Unatafutwa usafiri wa basi jingine la takbir. Seat tofauti abiria wamejaa hadi kina askari wamesimama na jamaa mmoja anasafiti na vifaranga ndani ya basi, burdani?

Sasa, nyie kampuni ya Adventure, kama kuna changamoro zimetokea, namba za simu mnazoomba wakati wa kukata ticket omline ni za nini? Pia ticket zenu za online ziwe na namva ya simu ili abiria apate maelekezo.
Basi lenyewe jina linajieleza na kilichokupata ni sehemu ya kile ulichoambiwa ni advanture ambayo imekuwezesha kutupa simulizi.
 
Basi lenyewe jina linajieleza na kilichokupata ni sehemu ya kile ulichoambiwa ni advanture ambayo imekuwezesha kutupa simulizi.
Tuko Katoro sasa
Najiuliza hivi kwanini abiria wa njia hii wanasagiri na mizigo mingi hivi.

Huyu jiranii yangu kaingia na kiroba cha dagaa, harufu yake sio mchezo.
 
Hiyo njia ina umafia mkubwa saana (uchawi & ujambazi japo ujambazi miaka ya karibuni haupo)

Adventure na Saratoga walichukua nafasi ya Zainabu coach na fadhiri mawese coach miaka ya 2000 huko

Mwaka 2010 ikaingia kampuni moja ya kichina Golden enter city ikawa inatoka mwanza saa 12 asubuhi inafika kigoma saa 8 mpaka 9 mchana ikapata wateja wengi saana sababu hayo makampuni kongwe yalikuwa yanafika kuanzia saa 1 jioni baada ya hapo hayo makampuni kongwe mawili yakampiga mchina tukio
Walikodisha majambazi Golden enter city ikapigwa risasi zaidi ya 800 alafu majambazi hawakuiba kitu
GOLDEN ENTER CITY WAHA WAKAIOGOPA IKATOWEKA

Sumry alikimbia hiyo njia
Sesabosa alikimbia njia

Yehova yire anatoa upinzani mkali kwa sababu ni mzawa but now day kapata skendo ya kumtoa kafara mke wake na mama yake
Mkuu.

Hongera yaelekea ni mwenyeji wa maeneo haya.

Hata hivto, chukua maneno yangu, kukamilika kwa barabara ya Kigoma Nyakanazi na ujio wa SGR,hao wababe watabaki historia
 
Kiufupi mabasi yote yanayoingia na kutoka kigoma ni miyeyusho.
Nilipanda adventure dar kigoma kufika tabora konda akatupatia juisi zile za 500 za jambo na biskuti za 200,

Nikaja kupanda mohamed kigoma arusha nayo miyeyusho mnakuja kula saa 1 jioni baada kufika singida,
 
Kigoma! Adventure, Saratoga
Ila hawa jamaa usanii mwingi vinginevyo hadi kufikia sasa wangekuwa wamepiga simu au kutoa taarifa za kuomba radhi.

Ukiingia katika portal uao sasa hivi, basi hilo linaonekana limejaa( na siti yangu ikiwemo) na pengine liko safarini!
 
Back
Top Bottom