Uchaguzi 2020 Kampuni ya Afrika Kusini yashinda tenda kuchapisha karatasi za kura 2020

Uchaguzi 2020 Kampuni ya Afrika Kusini yashinda tenda kuchapisha karatasi za kura 2020

HDMI

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2018
Posts
672
Reaction score
1,332
Gazeti la the Citizen lina ripoti kuwa kampuni ya Ms Ren-Form CC ndio imeshinda tenda ya bilioni 14.4 baada ya kuishinda kampuni ya kutoka Dubai.

Gazeti hilo linadai kuwa pia NEC hawajakubali au kupinga kampuni hii kushinda tenda hii na kuahidi kuwa watatoa taarifa ya kampuni na bei hivi karibuni.

Kampuni ya South Africa ilishinda tenda hii ambayo awali ilikuwa na gharama za bilioni 18 lakini NEC wakakaa mezani na kuishusha mpaka bilioni 14.4.

Mchakato wa kushusha bei ya tenda uliifanya kampuni ya Dubai, ambayo ndiyo ilichapa karatasi za uchaguzi wa Malawi 2020, kutuma malalamiko yake ambayo yalikataliwa na Ms Ren-form CC kushinda tenda hiyo.

Chanzo: South Africa firm to print Tanzania's 2020 ballot papers
 
Gazeti la the Citizen lina ripoti kuwa kampuni ya Ms Ren-Form CC ndio imeshinda tenda ya bilioni 14.4 baada ya kuishinda kampuni ya kutoka Dubai.

Gazeti hilo linadai kuwa pia NEC hawajakubali au kupinga kampuni hii kushinda tenda hii na kuahidi kuwa watatoa taarifa ya kampuni na bei hivi karibuni.

Kampuni ya South Africa ilishinda tenda hii ambayo awali ilikuwa na gharama za bilioni 18 lakini NEC wakakaa mezani na kuishusha mpaka bilioni 14.4.

Mchakato wa kushusha bei ya tenda uliifanya kampuni ya Dubai, ambayo ndiyo ilichapa karatasi za uchaguzi wa Malawi 2020, kutuma malalamiko yake ambayo yalikataliwa na Ms Ren-form CC kushinda tenda hiyo.

Chanzo: South Africa firm to print Tanzania's 2020 ballot papers
Tunaingia gharama kubwa namna hii halafu polisi na tume ya uchaguzi wana kuja kuharibu uchaguzi na kutangaza matokeo wanavyo taka wao.... Kama hawataki sanduku la kura liamue bora kusiwe na uchaguzi hizo pesa zifanye mambo mengine..
 
Humu ndani hakuna hayo makampuni..?
Hii hela mbona imekwenda nje.. au ndo demokrasia..
... halafu kuna Mpiga Chapa Mkuu wanakula mishahara ya bure tu pale!
 
Gazeti la the Citizen lina ripoti kuwa kampuni ya Ms Ren-Form CC ndio imeshinda tenda ya bilioni 14.4 baada ya kuishinda kampuni ya kutoka Dubai.

Gazeti hilo linadai kuwa pia NEC hawajakubali au kupinga kampuni hii kushinda tenda hii na kuahidi kuwa watatoa taarifa ya kampuni na bei hivi karibuni.

Kampuni ya South Africa ilishinda tenda hii ambayo awali ilikuwa na gharama za bilioni 18 lakini NEC wakakaa mezani na kuishusha mpaka bilioni 14.4.

Mchakato wa kushusha bei ya tenda uliifanya kampuni ya Dubai, ambayo ndiyo ilichapa karatasi za uchaguzi wa Malawi 2020, kutuma malalamiko yake ambayo yalikataliwa na Ms Ren-form CC kushinda tenda hiyo.

Chanzo: South Africa firm to print Tanzania's 2020 ballot papers
Hiyo kampuni ya Afrika Kusini inatumika kufunga bao la mkono tuwe makini.
 
Hii kazi si ingeweza kufanywa na Ndanda Printing Press.
Dona kantri
 
Humu ndani hakuna hayo makampuni..?
Hii hela mbona imekwenda nje.. au ndo demokrasia..
Watasema wazawa hawana ubora kwenye uchapishaji wa karatasi
Kumbuka mkono mtupu haulambwi
 
Gazeti la the Citizen lina ripoti kuwa kampuni ya Ms Ren-Form CC ndio imeshinda tenda ya bilioni 14.4 baada ya kuishinda kampuni ya kutoka Dubai.

Gazeti hilo linadai kuwa pia NEC hawajakubali au kupinga kampuni hii kushinda tenda hii na kuahidi kuwa watatoa taarifa ya kampuni na bei hivi karibuni.

Kampuni ya South Africa ilishinda tenda hii ambayo awali ilikuwa na gharama za bilioni 18 lakini NEC wakakaa mezani na kuishusha mpaka bilioni 14.4.

Mchakato wa kushusha bei ya tenda uliifanya kampuni ya Dubai, ambayo ndiyo ilichapa karatasi za uchaguzi wa Malawi 2020, kutuma malalamiko yake ambayo yalikataliwa na Ms Ren-form CC kushinda tenda hiyo.

Chanzo: South Africa firm to print Tanzania's 2020 ballot papers
Dah.. pesa yote hii tunaitoa kwenda nje ya nchi?
 
Mnaoshabikia zingechapishwa humu ndani hamjajaribu kuwaza kwamba zikichapishwa na printing press za humu...udanganyifu na duplications itakuwa wa hatari zaidi..bora kidogo zikitoka nje
 
Back
Top Bottom