HDMI
JF-Expert Member
- Mar 10, 2018
- 672
- 1,332
Gazeti la the Citizen lina ripoti kuwa kampuni ya Ms Ren-Form CC ndio imeshinda tenda ya bilioni 14.4 baada ya kuishinda kampuni ya kutoka Dubai.
Gazeti hilo linadai kuwa pia NEC hawajakubali au kupinga kampuni hii kushinda tenda hii na kuahidi kuwa watatoa taarifa ya kampuni na bei hivi karibuni.
Kampuni ya South Africa ilishinda tenda hii ambayo awali ilikuwa na gharama za bilioni 18 lakini NEC wakakaa mezani na kuishusha mpaka bilioni 14.4.
Mchakato wa kushusha bei ya tenda uliifanya kampuni ya Dubai, ambayo ndiyo ilichapa karatasi za uchaguzi wa Malawi 2020, kutuma malalamiko yake ambayo yalikataliwa na Ms Ren-form CC kushinda tenda hiyo.
Chanzo: South Africa firm to print Tanzania's 2020 ballot papers
Gazeti hilo linadai kuwa pia NEC hawajakubali au kupinga kampuni hii kushinda tenda hii na kuahidi kuwa watatoa taarifa ya kampuni na bei hivi karibuni.
Kampuni ya South Africa ilishinda tenda hii ambayo awali ilikuwa na gharama za bilioni 18 lakini NEC wakakaa mezani na kuishusha mpaka bilioni 14.4.
Mchakato wa kushusha bei ya tenda uliifanya kampuni ya Dubai, ambayo ndiyo ilichapa karatasi za uchaguzi wa Malawi 2020, kutuma malalamiko yake ambayo yalikataliwa na Ms Ren-form CC kushinda tenda hiyo.
Chanzo: South Africa firm to print Tanzania's 2020 ballot papers