UDSM Alumni
JF-Expert Member
- Jan 25, 2015
- 2,530
- 1,370
Duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgololo pale IringaNa South Africa wanachapisha zao wapi?
kwamba zikichapishwa huko south ndio udanganyifu hautakuepo?Mnaoshabikia zingechapishwa humu ndani hamjajaribu kuwaza kwamba zikichapishwa na printing press za humu...udanganyifu na duplications itakuwa wa hatari zaidi..bora kidogo zikitoka nje
Hahahahah bargaining ya 4bn. Kuna namnaDah.. pesa yote hii tunaitoa kwenda nje ya nchi?
Umejuaje?Wanachapisha NDANI ya South Africa.
Wao Wana AKILI KULIKO.
Kabisa hapo umenena MARCUS FOSTER OSB ANGEFANYA KWA WELEDIHii kazi si ingeweza kufanywa na Ndanda Printing Press.
Dona kantri
Nchi ya viwanda tunashindwaje kutoa hiyo tenda kwa wazawa?Gazeti la the Citizen lina ripoti kuwa kampuni ya Ms Ren-Form CC ndio imeshinda tenda ya bilioni 14.4 baada ya kuishinda kampuni ya kutoka Dubai.
Gazeti hilo linadai kuwa pia NEC hawajakubali au kupinga kampuni hii kushinda tenda hii na kuahidi kuwa watatoa taarifa ya kampuni na bei hivi karibuni.
Kampuni ya South Africa ilishinda tenda hii ambayo awali ilikuwa na gharama za bilioni 18 lakini NEC wakakaa mezani na kuishusha mpaka bilioni 14.4.
Mchakato wa kushusha bei ya tenda uliifanya kampuni ya Dubai, ambayo ndiyo ilichapa karatasi za uchaguzi wa Malawi 2020, kutuma malalamiko yake ambayo yalikataliwa na Ms Ren-form CC kushinda tenda hiyo.
Chanzo: South Africa firm to print Tanzania's 2020 ballot papers
Lazima umuogope POMPEO maana ana video zenu mkilanaChadema walitamani pompeo ndio ashinde hiyo tenda
Roho mbaya, uchawi ,ufisadi na ubinafsi ndio unapelekea hayo mamboHumu ndani hakuna hayo makampuni..?
Hii hela mbona imekwenda nje.. au ndo demokrasia..
Kiwanda gani kitafanya yafuatayo ili pesa ibaki nyumbani?Gazeti la the Citizen lina ripoti kuwa kampuni ya Ms Ren-Form CC ndio imeshinda tenda ya bilioni 14.4 baada ya kuishinda kampuni ya kutoka Dubai.
Gazeti hilo linadai kuwa pia NEC hawajakubali au kupinga kampuni hii kushinda tenda hii na kuahidi kuwa watatoa taarifa ya kampuni na bei hivi karibuni.
Kampuni ya South Africa ilishinda tenda hii ambayo awali ilikuwa na gharama za bilioni 18 lakini NEC wakakaa mezani na kuishusha mpaka bilioni 14.4.
Mchakato wa kushusha bei ya tenda uliifanya kampuni ya Dubai, ambayo ndiyo ilichapa karatasi za uchaguzi wa Malawi 2020, kutuma malalamiko yake ambayo yalikataliwa na Ms Ren-form CC kushinda tenda hiyo.
Chanzo: South Africa firm to print Tanzania's 2020 ballot papers