Kampuni ya ajabu katika ujenzi

Kampuni ya ajabu katika ujenzi

kuweni sirias wekeni full details za hiyo kampuni...... au ndo walewale.....
 
Wa Tz tuna kazi kweli. Naamini registration ni muhimu lakini ofc?*?zinazoangusha majengo zina very classic ofcs. Tuthamini vyetu na kupeana moyo.
 
ujanjaujanja katika biashara haufai hasahasa biashara ya nyumba

kaka kama wewe umetumia neno ajabu kwa makusudi ili watu waingie wasome je mimi nitakuaminije kukupa kazi ya ujenzi.
watu wa JF wanakushambulia kwa ajili umeweka neno ajabu

ushauri
1. tumia lugha nzuri na siyo ya ujanja kutangaza biashara yako na watu watakuelewa
2. omba ushauri katika kutangaza biashara yako na sio kutumia ujanjaunja ie "kampuni ya ajabu". maneno kama haya yanaondoa credibility
 
Tunashukuru kwa wazalendo kuonyesha mwitikio wenu katika kujenga na MCHUBANGA najivunia kuwa katika taifa lenye umoja na lenye kuelewa vyema ubora wa wazalendo. daima tutaendelea kutoa huduma ya ujenzi wa kiwango cha juu. shukrani kwa watanzania
 
We muraaaaaaaaaaaaa piga kazi acha watoe mikashfa ya si unajua wabongo kwa kuponda:dance:
 
Wazee wa kupanga mpaka kufa acheni kumsumbua Chacha Muraaa kwa kuwa hamna uwezo wa kujenga.

Nitakucheck kwenye PM yako ili uanze kazi ya ujenzi pale Bunju.Thx
 
Back
Top Bottom