Kampuni ya Bakhresa inajishusha hadhi

Kampuni ya Bakhresa inajishusha hadhi

Tena maembe mengine huozea kwenye magari nje, na minyoo juu halafu watu wanakanyaga juice ya embe yaani balaa tupu
Unataka kusema juice ya maembe imejaa yale madudu wanakamulia humu humu mbona mtu unaweza tapika kabisa kwa huu uchafu😔😔
 
Back
Top Bottom