Kampuni ya betika ni halali kweli au matapeli?

Kampuni ya betika ni halali kweli au matapeli?

Swa mkuuu hongera shetani akutangulie
Ahsante mkuu tukutane kwa wakala [emoji2][emoji16][emoji2][emoji2]
Kesho
Sijui nikuambie ukweli [emoji16][emoji16]
Betting ni mbaya na nzuri pia

Screenshot_20211202-011929.jpg
 
Ninatoa tahadhari hii out of the experience niliyoiona kwa Afisa mstaafu mmoja wa shirika kubwa sana nchini aliyekuwa na nyumba TATU huko Oysterbay, Masaki na Mbezi beach. Huyu bwana baada ya kustaafu akaanza kushinda kwenye hizo kamali zenu na mwishowe akaishia kuuza nyumba zote na baadae kufa kihoro!!!! You become addicted halafu unasema wengine ni kazi; sio kazi ni ugonjwa!!!
kula MTU ana ujinga wake. Nikiita kazi huwezi kunikataza na wewe ukiita ni uraibu/ addict siwezi kukataa .
 
kwa nini hamjawaanzishia mashambulizi kule twitter kama walivyofanya kwa sirjeff Ontario
 
Ujinga wenu kudhania mtatoka kwa michezo ya kamali; hakuna hata siku moja utakuja fanikiwa bila kufanya kazi na eti ukategemea hiyo michezo!!! Utapewa tamaa tu kuwa siku moja utakuja pata JACKPOT na hiyo siku haitakuja kamwe!!! Zinduka acha ujinga wa kuwatajirisha matapeli.
Huna jipya mkuu,nimejenga na kupiga lipu nyumba yangu kwa kubeti,nilimstiri mzee wangu kwa heshima kupitia beti,wewe wa wapi?,bet si kwa kila mtu,huu Ni mchezo wa kubahatisha,maana yake bahati ,so Kama huna bahati utaishia kumtajirisha mhindi.

So sikubaliano na wewe ,watu wametajilika kupitia michezo ya kubahatisha,Ila tambua si kila mtu ana bahati kupitia beti
 
Wewe mbwiga kwa ujumla wenu wacheza kamali mgekuwa mnashinda; hawa matapeli wangekwisha funga hayo maduka yao kwani wangekuwa wanapata hasara!! Serikali inawaruhusu hawa matapeli kuwafilisi wananchi na kutorosha fedha nje ya nchi kwa kuamini kuwa eti wanapata kodi!! Hiyo kodi wanayopata is insignificant ukifananisha na jinsi Wananchi wanavyofukarika na jinsi haya maduka ya kamali yanavyotumiwa kutorosha fedha ambayo ingetumika hapa nchini!!
Mkuu beti si kwa kila mtu
 
So sikubaliano na wewe ,watu wametajilika kupitia michezo ya kubahatisha,Ila tambua si kila mtu ana bahati kupitia beti

Unategemea kuwa watu watatoka kwa kubahatisha?? Nyie ndio wale mnategemea njia za mkato kufanikiwa badala ya kufanya kazi!! Matokeo yake mnaishia pabaya.
 
Ninatoa tahadhari hii out of the experience niliyoiona kwa Afisa mstaafu mmoja wa shirika kubwa sana nchini aliyekuwa na nyumba TATU huko Oysterbay, Masaki na Mbezi beach. Huyu bwana baada ya kustaafu akaanza kushinda kwenye hizo kamali zenu na mwishowe akaishia kuuza nyumba zote na baadae kufa kihoro!!!! You become addicted halafu unasema wengine ni kazi; sio kazi ni ugonjwa!!!
Hizi ni story zenu za kwenye kahawa za kujipa moyo
 
Wewe mbwiga kwa ujumla wenu wacheza kamali mgekuwa mnashinda; hawa matapeli wangekwisha funga hayo maduka yao kwani wangekuwa wanapata hasara!! Serikali inawaruhusu hawa matapeli kuwafilisi wananchi na kutorosha fedha nje ya nchi kwa kuamini kuwa eti wanapata kodi!! Hiyo kodi wanayopata is insignificant ukifananisha na jinsi Wananchi wanavyofukarika na jinsi haya maduka ya kamali yanavyotumiwa kutorosha fedha ambayo ingetumika hapa nchini!!
Betting ni worldwide sio bongo tu Kama unavyofikiri.watu wanaweka stake *4 ya mshaara wako
 
Betting ni worldwide sio bongo tu Kama unavyofikiri.watu wanaweka stake *4 ya mshaara wako

Msiige mambo ili mradi watu wengine wanafanya , ndio maana mnaiga mambo ya kishenzi mkijidai mbona wengine wanafanya!!! Fanya mambo yanayoendana na hali halisi ya nchi na utamaduni wenu.
 
Msiige mambo ili mradi watu wengine wanafanya , ndio maana mnaiga mambo ya kishenzi mkijidai mbona wengine wanafanya!!! Fanya mambo yanayoendana na hali halisi ya nchi na utamaduni wenu.
Naweka stake *4 ya mshaara wako,usidhani tunaobet hatuna kazi za kufanya ninaweza kuwa na kazi nzuri zaidi yako wewe.tulia hivyo hivyo na mishaara yenu ya mawazo
 
Ujinga wenu kudhania mtatoka kwa michezo ya kamali; hakuna hata siku moja utakuja fanikiwa bila kufanya kazi na eti ukategemea hiyo michezo!!! Utapewa tamaa tu kuwa siku moja utakuja pata JACKPOT na hiyo siku haitakuja kamwe!!! Zinduka acha ujinga wa kuwatajirisha matapeli.
maoni ya kijinga kama haya uwe unampa mke wako
 
Hivi mpaka unakuwa Platinum member, vigezo gani vinatumika? Mkuu hufai kuwa hata new member Kuwa wewView attachment 2030885
Wewe hufai hata kuwa kwenye jukwaa hili kwa jinsi ulivyokuwa mtupu!! Hutambui hata Kuwa hiyo michezo ya kamali inakufanya uwe lofa zaidi.
Kuwadhalilisha waanzilishi wa platform hii kwa kuhoji utendaji kazi wao kunaweza kupelekea wewe kufungiwa na usionekane tena humu wewe kiniero!!!
 
Back
Top Bottom