Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,790
- 2,232
Swa mkuuu hongera shetani akutangulieNi kweli bhna kamali ni dhambi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hio ni account yangu ya sport pesa View attachment 2029843
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swa mkuuu hongera shetani akutangulieNi kweli bhna kamali ni dhambi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hio ni account yangu ya sport pesa View attachment 2029843
Ahsante mkuu tukutane kwa wakala [emoji2][emoji16][emoji2][emoji2]Swa mkuuu hongera shetani akutangulie
kula MTU ana ujinga wake. Nikiita kazi huwezi kunikataza na wewe ukiita ni uraibu/ addict siwezi kukataa .Ninatoa tahadhari hii out of the experience niliyoiona kwa Afisa mstaafu mmoja wa shirika kubwa sana nchini aliyekuwa na nyumba TATU huko Oysterbay, Masaki na Mbezi beach. Huyu bwana baada ya kustaafu akaanza kushinda kwenye hizo kamali zenu na mwishowe akaishia kuuza nyumba zote na baadae kufa kihoro!!!! You become addicted halafu unasema wengine ni kazi; sio kazi ni ugonjwa!!!
Huna jipya mkuu,nimejenga na kupiga lipu nyumba yangu kwa kubeti,nilimstiri mzee wangu kwa heshima kupitia beti,wewe wa wapi?,bet si kwa kila mtu,huu Ni mchezo wa kubahatisha,maana yake bahati ,so Kama huna bahati utaishia kumtajirisha mhindi.Ujinga wenu kudhania mtatoka kwa michezo ya kamali; hakuna hata siku moja utakuja fanikiwa bila kufanya kazi na eti ukategemea hiyo michezo!!! Utapewa tamaa tu kuwa siku moja utakuja pata JACKPOT na hiyo siku haitakuja kamwe!!! Zinduka acha ujinga wa kuwatajirisha matapeli.
Mkuu beti si kwa kila mtuWewe mbwiga kwa ujumla wenu wacheza kamali mgekuwa mnashinda; hawa matapeli wangekwisha funga hayo maduka yao kwani wangekuwa wanapata hasara!! Serikali inawaruhusu hawa matapeli kuwafilisi wananchi na kutorosha fedha nje ya nchi kwa kuamini kuwa eti wanapata kodi!! Hiyo kodi wanayopata is insignificant ukifananisha na jinsi Wananchi wanavyofukarika na jinsi haya maduka ya kamali yanavyotumiwa kutorosha fedha ambayo ingetumika hapa nchini!!
So sikubaliano na wewe ,watu wametajilika kupitia michezo ya kubahatisha,Ila tambua si kila mtu ana bahati kupitia beti
Hizi ni story zenu za kwenye kahawa za kujipa moyoNinatoa tahadhari hii out of the experience niliyoiona kwa Afisa mstaafu mmoja wa shirika kubwa sana nchini aliyekuwa na nyumba TATU huko Oysterbay, Masaki na Mbezi beach. Huyu bwana baada ya kustaafu akaanza kushinda kwenye hizo kamali zenu na mwishowe akaishia kuuza nyumba zote na baadae kufa kihoro!!!! You become addicted halafu unasema wengine ni kazi; sio kazi ni ugonjwa!!!
Betting ni worldwide sio bongo tu Kama unavyofikiri.watu wanaweka stake *4 ya mshaara wakoWewe mbwiga kwa ujumla wenu wacheza kamali mgekuwa mnashinda; hawa matapeli wangekwisha funga hayo maduka yao kwani wangekuwa wanapata hasara!! Serikali inawaruhusu hawa matapeli kuwafilisi wananchi na kutorosha fedha nje ya nchi kwa kuamini kuwa eti wanapata kodi!! Hiyo kodi wanayopata is insignificant ukifananisha na jinsi Wananchi wanavyofukarika na jinsi haya maduka ya kamali yanavyotumiwa kutorosha fedha ambayo ingetumika hapa nchini!!
Betting ni worldwide sio bongo tu Kama unavyofikiri.watu wanaweka stake *4 ya mshaara wako
Naweka stake *4 ya mshaara wako,usidhani tunaobet hatuna kazi za kufanya ninaweza kuwa na kazi nzuri zaidi yako wewe.tulia hivyo hivyo na mishaara yenu ya mawazoMsiige mambo ili mradi watu wengine wanafanya , ndio maana mnaiga mambo ya kishenzi mkijidai mbona wengine wanafanya!!! Fanya mambo yanayoendana na hali halisi ya nchi na utamaduni wenu.
maoni ya kijinga kama haya uwe unampa mke wakoUjinga wenu kudhania mtatoka kwa michezo ya kamali; hakuna hata siku moja utakuja fanikiwa bila kufanya kazi na eti ukategemea hiyo michezo!!! Utapewa tamaa tu kuwa siku moja utakuja pata JACKPOT na hiyo siku haitakuja kamwe!!! Zinduka acha ujinga wa kuwatajirisha matapeli.
Wewe mbwiga umechafuliwa huwezi kuelewa kitu!!maoni ya kijinga kama haya uwe unampa mke wako
Hivi mpaka unakuwa Platinum member, vigezo gani vinatumika? Mkuu hufai kuwa hata new memberWivu kwa nyinyi wajinga kuibiwa na wajanja?
Wewe hufai hata kuwa kwenye jukwaa hili kwa jinsi ulivyokuwa mtupu!! Hutambui hata Kuwa hiyo michezo ya kamali inakufanya uwe lofa zaidi.Hivi mpaka unakuwa Platinum member, vigezo gani vinatumika? Mkuu hufai kuwa hata new member Kuwa wewView attachment 2030885
Utupu ninao, ila wewe TUPUTUPU KABISAWewe hufai hata kuwa kwenye jukwaa hili kwa jinsi ulivyokuwa mtupu!!
Baada ya kulalamika betika wamenilipaKwanza kamli Dhambi
Mwamba umetoa mzigo wote umeacha 700 tu duh!Ahsante mkuu tukutane kwa wakala [emoji2][emoji16][emoji2][emoji2]
Kesho
Sijui nikuambie ukweli [emoji16][emoji16]
Betting ni mbaya na nzuri pia
View attachment 2029844
Wakimbie kabisa kama laki mbili tu wanakusumbua ivo siku ukiwapiga zakutosha siwataifungia account yako kabisa.Baada ya kulalamika betika wamenilipa View attachment 2031610
Tuambie na sisi, Mkuu, Skendo zao !hawa nilipopataga skendo zao za utapeli nilifuta app yao siku hiyo hiyo kuna watu wengi sana wamedhulumiwa na hao wahuni