Tetesi: Kampuni ya Bharit inayomiliki Airtel kuziuza Airtel Tanzania, Airtel Rwanda na Kenya

Tetesi: Kampuni ya Bharit inayomiliki Airtel kuziuza Airtel Tanzania, Airtel Rwanda na Kenya

Masikini mjanja

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2017
Posts
232
Reaction score
379
Nimesoma mahali kwenye mtandao mmoja nchini Kenya wakidai Airtel Tanzania, Airtel Rwanda na Airtell Kenya zitauzwa na sababu kubwa ni hasara.
 
Hii kampuni ndiyo kawaida yake, ilianza operations ikiitwa Celtel, ikabadilika ikaitwa Zain, Kisha ikaitwa Airtel....sijui itaitwaje baada ya hapo!
 
Hii kampuni ndiyo kawaida yake, ilianza operations ikiitwa Celtel, ikabadilika ikaitwa Zain, Kisha ikaitwa Airtel....sijui itaitwaje baada ya hapo!
Nayebadilika ni mmiliki wafanyakazi na mitambo ni ile ile
 
Hii kampuni ndiyo kawaida yake, ilianza operations ikiitwa Celtel, ikabadilika ikaitwa Zain, Kisha ikaitwa Airtel....sijui itaitwaje baada ya hapo!
naskia Sasa hivi itaitwa RUZILANKONKOCOM
 
Wauze tu

Wameshindwa biashara huduma ya internet yao karibu miezi mitano sasa haifanyi kazi
 
Airtel Tanzania,inafanya biashara ki-kihindi, sio innovative, walikaa tu watching and imitating what others were/are doing to make their customers happy. sijui kitengo cha R&D kilikuwa na kazi ipi? Huduma zao are so poor; ukija kwenye data ndio utaona kichefuchefu. Yaani walikata tamaa mapema.
Baada ya kupiga bingo kwenye sijui ilikuwa acquisition au merger na TTCL wakarelax.
 
Serikali Hii Ni Kudai Kodi Hata Ikifa Wakati Imeshalipa Kodi Watakuja Wawekezaji Wengine
Holiday Tax Siyo Zama Hizi
 
Wanakwepa kodi ...nazani sheria ya kutoa msamaha wa kodi kwa mwekezaji mpya kwa miaka flani iondolewe cz hawa hua wanasubiri mda ukiisha wanabadili jina so wanaishi kwa kukwepa kodi
 
airtel ubunifu hakuna..wametoa macho kwenye kulipanà vizuri,promotion mbovu sana,internet ndiyo biashara kubwa..wao hawaiboreshi
 
Walipe kodi wanazodaiwa ndio wauze, maana huu ni ujanja wa kukwepa kodi kwa kubadilisha jina.
 
Huo ungese wao mwaka huu lazima Capital Gain watulipe tu.
 
Back
Top Bottom