Tetesi: Kampuni ya Bharit inayomiliki Airtel kuziuza Airtel Tanzania, Airtel Rwanda na Kenya

Tetesi: Kampuni ya Bharit inayomiliki Airtel kuziuza Airtel Tanzania, Airtel Rwanda na Kenya

Wanakwepa kodi ...nazani sheria ya kutoa msamaha wa kodi kwa mwekezaji mpya kwa miaka flani iondolewe cz hawa hua wanasubiri mda ukiisha wanabadili jina so wanaishi kwa kukwepa kodi
Sheria za kodi TZ, KE na Rwanda zinafanana maana kampuni inauzwa kote huko
 
Kama ni kweli.

Serikali nunua hisa zote za Airtel Tanzania, ukitumia watendaji wake haohao iongezewe nguvu na coverage..
Kutumia umafia wa kibiashara Serikali inunue hisa nyingi Vodacom na Tigo na mwisho kuzimiliki kabisa halafu unaziunganisha na Airtel na nchi inapata kampuni moja kubwa la Simu litaloendeshwa na watendaji hao hao waliopo na management hiyohiyo na iendeshwe kiufanisi zaidi kwa kuleta MACEO kutoka ulaya na watendaji woote muhimu watoke huko na serikali ikae pembeni kuchukua faida.. na baada ya hapo Serikali iweke mazingira magumu kwa uanzishwaji wa kampuni nyingine za simu..
 
Kama ni kweli.

Serikali nunua hisa zote za Airtel Tanzania, ukitumia watendaji wake haohao iongezewe nguvu na coverage..
Kutumia umafia wa kibiashara Serikali inunue hisa nyingi Vodacom na Tigo na mwisho kuzimiliki kabisa halafu unaziunganisha na Airtel na nchi inapata kampuni moja kubwa la Simu litaloendeshwa na watendaji hao hao waliopo na management hiyohiyo na iendeshwe kiufanisi zaidi kwa kuleta MACEO kutoka ulaya na watendaji woote muhimu watoke huko na serikali ikae pembeni kuchukua faida.. na baada ya hapo Serikali iweke mazingira magumu kwa uanzishwaji wa kampuni nyingine za simu..

Hii akili au matope! Biashara inahitaji competition na competition ndo huzaa inovation na unafuu kwa wateja. Unataka kampuni moja la simu lenye nguvu na kuamua kile watakacho, wapandishee bei wawezavyo bila kupingwa na mtu na innovation ife kabisa? USA walivunja at&t miaka ya zamani wakati ndo huo ilikua kampuni moja tu ya simu na kuzalisha makampuni mengine ili kuongeza ushindani na ufanisi. Competition ni driving force ya biashara yeyote ile
 
Nj ujanja wa kusaka "5years of tax holiday" tunajua janjajanja yao.

Wala hakuna cha hasara kwa sababu, kila baada ya miaka 5 hadi 7 wanabadili jinanila wanunuaji ni wale wale na tunawafahamu.

Celtel, Zain , Airtel sasa jina jipya itaitwa Cairtel
 
Kumbe ndio maana hata mafuta ya kupeleka site tunapewa lita 100 alafu tunaambiwa yamalize mwezi kwenye site za umeme [emoji848]
 
airtel ubunifu hakuna..wametoa macho kwenye kulipanà vizuri,promotion mbovu sana,internet ndiyo biashara kubwa..wao hawaiboreshi

Wataboreshaje wakati site zao zinaanguka kama zambarau kwaajili ya mafuta yaani wanakubali wakunyime mafuta wapoteze mawasiliano eneo fulani kwa masaa ya kutosha
 
Kama ni kweli.

Serikali nunua hisa zote za Airtel Tanzania, ukitumia watendaji wake haohao iongezewe nguvu na coverage..
Kutumia umafia wa kibiashara Serikali inunue hisa nyingi Vodacom na Tigo na mwisho kuzimiliki kabisa halafu unaziunganisha na Airtel na nchi inapata kampuni moja kubwa la Simu litaloendeshwa na watendaji hao hao waliopo na management hiyohiyo na iendeshwe kiufanisi zaidi kwa kuleta MACEO kutoka ulaya na watendaji woote muhimu watoke huko na serikali ikae pembeni kuchukua faida.. na baada ya hapo Serikali iweke mazingira magumu kwa uanzishwaji wa kampuni nyingine za simu..
Aisee hizi ni pumba, biashara bila ushindani ndo mwanzo wa kulemaa mfano mzuri ni TTCL walivyoanguka maana zamani hawakuwa na washindani wala ubunifu
 
Kama ni kweli.

Serikali nunua hisa zote za Airtel Tanzania, ukitumia watendaji wake haohao iongezewe nguvu na coverage..
Kutumia umafia wa kibiashara Serikali inunue hisa nyingi Vodacom na Tigo na mwisho kuzimiliki kabisa halafu unaziunganisha na Airtel na nchi inapata kampuni moja kubwa la Simu litaloendeshwa na watendaji hao hao waliopo na management hiyohiyo na iendeshwe kiufanisi zaidi kwa kuleta MACEO kutoka ulaya na watendaji woote muhimu watoke huko na serikali ikae pembeni kuchukua faida.. na baada ya hapo Serikali iweke mazingira magumu kwa uanzishwaji wa kampuni nyingine za simu..
Umejifunza kidogo kwa safaricom Kenya mkuu?
 
Serikali iko makini .. Hakuna uwekezaji mpya hapo hata wapewe msamaha wa kodi.. hii ni running business ..kodi ziko palepale..aliyepata msamaha ni yule aliyewekeza kwa mara ya kwanza, baada ya hapo meter ya kodi inahesabu kama kawaida.
 
Umejifunza kidogo kwa safaricom Kenya mkuu?

Ndio Mkuu, lakini sio kenya tu hata SouthAfrica pia na baadhi ya mataifa ya kiarabu na Africa.
Tunahitaji akili kama hizo na ubunifu wa hali ya juu na sio hizi sarakasi..
 
Aisee hizi ni pumba, biashara bila ushindani ndo mwanzo wa kulemaa mfano mzuri ni TTCL walivyoanguka maana zamani hawakuwa na washindani wala ubunifu

inawezekana unaona pumba kwa kukosa uelewa na kuishi kwa theory, yapo mataifa mengi tu yamefanya hivi na yamefanikiwa, Mfano Kenya, Southafrica nk... TTCL haijafa kwa sababu ya kukosa ushindani bali imekufa kutokana na kuendekeza siasa na akili za kikada, ukifikiria kibiashara huwezi kuliendesha shirika kama TTCL tena lina backup ya serikali mbona Kenya wameweza Safari com kwanini sisi tushindwe???
 
Hii akili au matope! Biashara inahitaji competition na competition ndo huzaa inovation na unafuu kwa wateja. Unataka kampuni moja la simu lenye nguvu na kuamua kile watakacho, wapandishee bei wawezavyo bila kupingwa na mtu na innovation ife kabisa? USA walivunja at&t miaka ya zamani wakati ndo huo ilikua kampuni moja tu ya simu na kuzalisha makampuni mengine ili kuongeza ushindani na ufanisi. Competition ni driving force ya biashara yeyote ile
Anataka iwe kampuni moja kama Tanesco na Railway
 
Back
Top Bottom