Kampuni ya chanjo ya COVID-19 ya Moderna yakadiria mauzo ya Tsh. Trilioni 41.7

Kampuni ya chanjo ya COVID-19 ya Moderna yakadiria mauzo ya Tsh. Trilioni 41.7

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Kampuni ya Chanjo ya #COVID19 ya Marekani, Moderna imekadiria kuwa na mauzo ya Dola za kimarekani bilioni 18.4 sawa na Takribani Tsh. Trilioni 41.8 kwa mwaka 2021

Fedha hizi ni zaidi ya zile zilizokadiriwa awali ambazo ilikuwa Dola Bilioni 11.2 sawa na Tsh Trilioni 25.97. Mauzo haya makubwa yataifanya moderna itaifanya Moderna ipate faida kwa mara ya kwanza

Kampuni ya Moderna ilianzisha miaka 11 iliyopita na kwa takwimu za 2019 ilikuwa na waajiriwa 830. Tofauti na AstraZeneca ya Uingereza ambayo ina waajiriwa 70,000

Moderna ni kampuni ya kwanza kutengeneza chanjo ya Virusi vipya vya #Corona vilivyogunduliwa Afrika Kusini

===
Moderna expects to rake in $18.4bn (£13bn) of sales from its coronavirus vaccine this year, marking a huge turnaround in the fortunes of the US biotech firm.

The expected revenue is far higher than the $11.2bn predicted by analysts, and exceeds the $15bn in sales that its US rival Pfizer expects for the Covid-19 vaccine that it developed with Germany’s BioNTech.

Massachusetts-based Moderna, founded 11 years ago, said the final number could even exceed the $18.4bn its current deals would bring in, as it was in discussions with several governments about further orders. It is also in talks with Covax, a mechanism created to distribute Covid vaccine doses fairly around the world.

The vast sales will push Moderna into profit for the first time and move the company into a bigger league. The UK’s AstraZeneca had sales of $25bn last year, but while AZ employs 70,000 staff, Moderna had just 830 in 2019.

Moderna charges $30 for the required two shots in the US and $36 in the EU. By comparison, the Pfizer/BioNTech vaccine costs $39 for two doses in the US and just under $30 in the EU. The AstraZeneca vaccine ranges from $4.30 to $10 for two doses, and the company had pledged not to profit from the vaccine until the pandemic is declared over.

The Moderna vaccine, similar to the Pfizer/BioNTech version, is based on re-engineering mRNA – the molecule that sends genetic instructions from DNA to a cell’s protein-making machinery – and it has produced equally strong results in late-stage clinical trials, with an efficacy of 94%.

Moderna is the first company to have developed a new vaccine version designed to provide better protection against the highly contagious coronavirus variant identified in South Africa, and it shipped it to the US National Institutes of Health this week for testing as a booster shot.

Stéphane Bancel, the chief executive of Moderna, said 2021 would be “an inflection year” for the business. The 48-year-old Frenchman has been at the helm of Moderna since 2011.

The company floated in 2018 but the share price languished around the flotation price until coronavirus emerged. In the last 12 months, the price has soared from around $19 to $155, giving the company a value of around $60bn. That surge has turned Bancel, who has a 9% stake in Moderna, into a paper billionaire worth more than $5bn.

The firm opened subsidiaries in eight countries last year and plans to add Japan, South Korea and Australia in 2021. “We will advance our mission of delivering on the promise of mRNA science to create a new generation of transformative medicines for patients,” Bancel said. “This is just the beginning.”

Moderna was founded in 2010 by a stem cell biologist, Derrick Rossi, and two financial backers, with the idea that mRNA could be re-engineered to develop drugs and vaccines. It has 23 other mRNA drugs and vaccines in its portfolio, such as vaccines for the viruses Zika, HIV and Nipah. But with the exception of the Covid-19 vaccine, none of its products have yet made it to market.

The UK has ordered 17m shots of the Moderna vaccine, the first of which are expected to arrive in April. The EU has already received some Moderna jabs. Last week the EU ordered 150m additional doses from Moderna, for delivery from the summer, bringing its total order this year to 310m doses. It has the option to purchase a further 150m doses for delivery next year.

Two weeks ago the US government purchased an additional 100m doses of the Moderna vaccine, taking its total to 300m doses. Moderna remains on track to deliver the first 100m doses by March and the second order of 100m doses in May. Japan has purchased 50m doses.
 
Aisee ila Moderna kama vile ni ghali sana.
Afrika twaletewa Astrazeneca ambayo ni 20000 tu kwa dozi 2
 
Huu ugonjwa ukiutafakari sana unaweza kuona kama ni biashara ya watu
Rais wa nchi anaposema "MIMI NI KIONGOZI WENU NINAJUA " watu wanadhani anaongea asichojua,hawajiongezi kwamba mkuu ana network kubwa na anajua udharimu wa mzungu ulivyo

lakini unamkuta mTanzania yuko mtaani hajui moja wala mbili lakini kashupaza shingo kulaumu Rais eti aruhusu chanjo
 
Huu ugonjwa ukiutafakari sana unaweza kuona kama ni biashara ya watu
Ni ugonjwa tu,kila tatizo ni fursa ya kutengeneza fedha kwa mwenzio.

Ndio maana hata watu wakifa zaidi wauza majeneza wananufaika. Ni ukweli unao sikitisha lakini hayo ndio maisha.Kumbuka,tatizo lako ni fursa kwa mwenzio kutengeneza hela.
 
Ni ugonjwa tu,kila tatizo ni fursa ya kutengeneza fedha kwa mwenzio.

Ndio maana hata watu wakifa zaidi wauza majeneza wananufaika. Ni ukweli unao sikitisha lakini hayo ndio maisha.Kumbuka,tatizo lako ni fursa kwa mwenzio kutengeneza hela.
Akili kubwa sana wewe,huyo jamaa hapo juu anakwambia umsikilize raisi wa nchi akuamulie raisi gani wa nchi za Africa mwemye huruma na watu wake? Kama ni hasara wao ndio wamepata hasara sio sisi?
 
ILITAKIWA IWE HIVI: "KAMPUNI YA TARC (TANZANIA RESERCH CENTER) YAKADIRIA MAUZO YA TSH. TRILIONI 41.8. NI KUTOKANA NA MAUZO YA CHANJO YA #COVID19 KWA MWAKA 2021"

NA SIO HIVI: "WAZIRI WA AFYA AJIFUKIZIA OFISINI MWAKE, ATOA RAI KWA WANANCHI KUENDELEA KUJIFUKIZA ILI KUJILINDA NA KORONA"

jamiiforums-photo-2021_02_26_10_30.jpg


UNADHANI KWA TANZANIA HILI HALIWEZEKANI? NDIO KAMA TUKIFANIKIWA KUPATA WANASIASA WENYE MAONO YA KESHO NA SIO WACHUMIA MATUMBO
 
Nafikiria tu badala ya kulalamikia kwamba chanjo ni feki Je kama mapema kabisa mwaka jana tungejikita kutegeneza chanjo yetu wenyewe ya COVID-19 kwa kutumia resources zetu wenyewe (watalaam na vifaa) - sasa hivi tungejidunga wenyewe tuwe salama na wauzia majirani zetu dozi kwa mamilion na kutengeneza mabillion ya dolari.

Sijui tunakwama wapi?
 
Rais wa nchi anaposema "MIMI NI KIONGOZI WENU NINAJUA " watu wanadhani anaongea asichojua,hawajiongezi kwamba mkuu ana network kubwa na anajua udharimu wa mzungu ulivyo

lakini unamkuta mTanzania yuko mtaani hajui moja wala mbili lakini kashupaza shingo kulaumu Rais eti aruhusu chanjo

Km chanjo za mzungu zina madhara si mtengeneze za kwenu!!?

Ivo Ivo na dawa za kupunguza makali ya ukimwi na maralia

Waafrica sijui tukoje! Kutwa kujilizaliza ooh! Mzungu mzungu km vile sie sio binadamu.
 
Huu ugonjwa ukiutafakari sana unaweza kuona kama ni biashara ya watu
Ndio hicho mkuu, cha muhimu Serikali zetu ziwe makini na makampuni haya yanayo tumia mRNA kuzalisha chanjo, kama kuna ulazima wa kununua chanjo basi tutakuwa salama Taifa letu likiagiza chanjo zinazo zalishwa Urusi na Uchina zinazo tumuia attenuated Kovid-19 hizo ni salama zaidi maana wanatumia traditional technic kuzalisha chanjo - njia ambayo utumika kuzalisha chanjo za magonjwa mengi - mbinu hizi zilianzishwa zaidi ya miaka mia iliyopita, sio hawa wanaochezea mRNA ambayo hatujui short na long term ya madhara yake kwa binadamu yatakuwaje, maana hazijafanyiwa tafiti za kutosha na kujiridhisha kwamba ziko salama.

We wasikilize jamaa hawa walivyo wa ajabu, hapa wanakuja na adithi za usanii eti wakekwisha gunduwa chanjo ya kudhibiti Kovid ya Afrika kusini ambayo ni hatarishi na inayo sambaa kwa kasi kubwa, jamani, hivi inaingia akili kwamba kovid-21 ya Afrika kusini ambayo imejulikana juzi juzi tu hapa -kampuni ya Moderna imekwisha pata jibu at a lightening speed - hii imekaa vipi kama sio wao wanatengeneza virus hivi, walipo ona virus za kovid-19 havikuwaua Waafrika sana ndio wakatujia na kovid-21 kuongeza taaruki kwenye jamii, mwisho wa siku Serikali za kiafrika zilazimike kununua chanjo zao kwa bei mbaya tutake tusitake! Eti wao ndio kampuni ya kwanza Duniani kutengeneza chanjo ya kovid-19, ulaghai mtupu, ukweli ni kwamba kampuni ya kwanza kutengeneza chanjo ya kovid-19 ni kampuni ya Urusi inatengeneza chanjo aina ya Sputnik-VI inatumika sana huko Latin America na baadhi ya Mataifa ya Afrika.
 
Yaani yaani biashara inalazimishwa kwa gharama ya uhai wa watu
Mungu huyu!
 
Nafikiria tu badala ya kulalamikia kwamba chanjo ni feki Je kama mapema kabisa mwaka jana tungejikita kutegeneza chanjo yetu wenyewe ya COVID-19 kwa kutumia resources zetu wenyewe (watalaam na vifaa) - sasa hivi tungejidunga wenyewe tuwe salama na wauzia majirani zetu dozi kwa mamilion na kutengeneza mabillion ya dolari..

Sijui tunakwama wapi?
Nchi ambayo haijawahi kutengeneza hata pamba ya kuoshea vidonda inawezaje kutengeneza Chanjo ya Corona ?
 
Nafikiria tu badala ya kulalamikia kwamba chanjo ni feki Je kama mapema kabisa mwaka jana tungejikita kutegeneza chanjo yetu wenyewe ya COVID-19 kwa kutumia resources zetu wenyewe (watalaam na vifaa) - sasa hivi tungejidunga wenyewe tuwe salama na wauzia majirani zetu dozi kwa mamilion na kutengeneza mabillion ya dolari.

Sijui tunakwama wapi?
Badala yake waziri wa afya anatoka hadharani na blender kuonyesha namna ya kusaga vitunguu saumu, pili pili manga n.k.
 
ILITAKIWA IWE HIVI: "KAMPUNI YA TARC (TANZANIA RESERCH CENTER) YAKADIRIA MAUZO YA TSH. TRILIONI 41.8. NI KUTOKANA NA MAUZO YA CHANJO YA #COVID19 KWA MWAKA 2021"

NA SIO HIVI: "WAZIRI WA AFYA AJIFUKIZIA OFISINI MWAKE, ATOA RAI KWA WANANCHI KUENDELEA KUJIFUKIZA ILI KUJILINDA NA KORONA"

View attachment 1712221

UNADHANI KWA TANZANIA HILI HALIWEZEKANI? NDIO KAMA TUKIFANIKIWA KUPATA WANASIASA WENYE MAONO YA KESHO NA SIO WACHUMIA MATUMBO
Ndio maana nae Magufuli kutwa hakomu kupigia chapuo Barakoa from MSD na BUPIJI na COVIDOL
 
Kwani nimr ile chachandu yao wamefikisha laki?
 
Kampuni ya Chanjo ya #COVID19 ya Marekani, Moderna imekadiria kuwa na mauzo ya Dola za kimarekani bilioni 18.4 sawa na Takribani Tsh. Trilioni 41.8 kwa mwaka 2021

Fedha hizi ni zaidi ya zile zilizokadiriwa awali ambazo ilikuwa Dola Bilioni 11.2 sawa na Tsh Trilioni 25.97. Mauzo haya makubwa yataifanya moderna itaifanya Moderna ipate faida kwa mara ya kwanza

Kampuni ya Moderna ilianzisha miaka 11 iliyopita na kwa takwimu za 2019 ilikuwa na waajiriwa 830. Tofauti na AstraZeneca ya Uingereza ambayo ina waajiriwa 70,000

Moderna ni kampuni ya kwanza kutengeneza chanjo ya Virusi vipya vya #Corona vilivyogunduliwa Afrika Kusini

===
Moderna expects to rake in $18.4bn (£13bn) of sales from its coronavirus vaccine this year, marking a huge turnaround in the fortunes of the US biotech firm.

The expected revenue is far higher than the $11.2bn predicted by analysts, and exceeds the $15bn in sales that its US rival Pfizer expects for the Covid-19 vaccine that it developed with Germany’s BioNTech.

Massachusetts-based Moderna, founded 11 years ago, said the final number could even exceed the $18.4bn its current deals would bring in, as it was in discussions with several governments about further orders. It is also in talks with Covax, a mechanism created to distribute Covid vaccine doses fairly around the world.

The vast sales will push Moderna into profit for the first time and move the company into a bigger league. The UK’s AstraZeneca had sales of $25bn last year, but while AZ employs 70,000 staff, Moderna had just 830 in 2019.

Moderna charges $30 for the required two shots in the US and $36 in the EU. By comparison, the Pfizer/BioNTech vaccine costs $39 for two doses in the US and just under $30 in the EU. The AstraZeneca vaccine ranges from $4.30 to $10 for two doses, and the company had pledged not to profit from the vaccine until the pandemic is declared over.

The Moderna vaccine, similar to the Pfizer/BioNTech version, is based on re-engineering mRNA – the molecule that sends genetic instructions from DNA to a cell’s protein-making machinery – and it has produced equally strong results in late-stage clinical trials, with an efficacy of 94%.

Moderna is the first company to have developed a new vaccine version designed to provide better protection against the highly contagious coronavirus variant identified in South Africa, and it shipped it to the US National Institutes of Health this week for testing as a booster shot.

Stéphane Bancel, the chief executive of Moderna, said 2021 would be “an inflection year” for the business. The 48-year-old Frenchman has been at the helm of Moderna since 2011.

The company floated in 2018 but the share price languished around the flotation price until coronavirus emerged. In the last 12 months, the price has soared from around $19 to $155, giving the company a value of around $60bn. That surge has turned Bancel, who has a 9% stake in Moderna, into a paper billionaire worth more than $5bn.

The firm opened subsidiaries in eight countries last year and plans to add Japan, South Korea and Australia in 2021. “We will advance our mission of delivering on the promise of mRNA science to create a new generation of transformative medicines for patients,” Bancel said. “This is just the beginning.”

Moderna was founded in 2010 by a stem cell biologist, Derrick Rossi, and two financial backers, with the idea that mRNA could be re-engineered to develop drugs and vaccines. It has 23 other mRNA drugs and vaccines in its portfolio, such as vaccines for the viruses Zika, HIV and Nipah. But with the exception of the Covid-19 vaccine, none of its products have yet made it to market.

The UK has ordered 17m shots of the Moderna vaccine, the first of which are expected to arrive in April. The EU has already received some Moderna jabs. Last week the EU ordered 150m additional doses from Moderna, for delivery from the summer, bringing its total order this year to 310m doses. It has the option to purchase a further 150m doses for delivery next year.

Two weeks ago the US government purchased an additional 100m doses of the Moderna vaccine, taking its total to 300m doses. Moderna remains on track to deliver the first 100m doses by March and the second order of 100m doses in May. Japan has purchased 50m doses.
Na sisi tuuze BUPIJI na NIMRICAF
 
Baiashara kama zingine tu
Hata sisi tuliambiwa tulime sana ili wanao pigana huko tuwauzie
 
Back
Top Bottom