Hii project ingekuwa inafanywa na kampuni ya nchi za kimagharibi naamini isingefikia ilipo leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wangeifanya wazungu wangekwamisha. Sababu mabeberu bwawa hawalitaki. Linawanyima mirija ya kula hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii project ingekuwa inafanywa na kampuni ya nchi za kimagharibi naamini isingefikia ilipo leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mradi ni wa aina yake kama inafanikiwa. Suala la nishati litakuwa limepata uhakika kwa miongo kadhaa mbele.
Wazungu hawataki niendelee. Mkiendelea wao watakuwa maskini. Hawana kitu kule kwao
Zaidi ya 48% law civil works. Equipment sijui wamefikia wapi
Hilo bwawa lunazuia mirija Gani ya kula.Bwawa hili wazungu wanatamani walilipue kwa bomu. Ila wanaona aibu
Watabadikisha jina kama chanel oWangeifanya wazungu wangekwamisha. Sababu mabeberu bwawa hawalitaki. Linawanyima mirija ya kula hela
Sijui kwa nini miradi ya awamu ya mwendakuzimu ilikuwa inakumbana sana na vikwazo,mbona miradi ya JK ilikuwa inakwenda bila pingapinga za wazungu
Baadhi ya Watanzania kama wewe, mungelikuwa nyie ndio Beberu, mungelikuwa mmetufungia sijui sayari gani tu,
Bahati mbaya na wewe ni mbongo mwenzetu😂 utaishia kukasirika tu huku Miradi ikizidi kusogea
Hii nchi kivyovyote vile tunahitaji Umeme wa uhakika hilo Bwawa tayari lilikuwa hope sana kwetu mana peke yake tu lingekamilika lingefua umeme Zaidi ya tulio nao kwenye Grid sasa kwahiyo kufurahia mkwamo wa hio project ni zaidi ya Ujinga mana viwanda haviwezi kujengwa bila uhakika wa nishati lakini lazima tupambane kuondoa huu mkwamo hakuna mzungu atafurahi kuona unajenga dam ya kufua MW 2100 kwa sasa totol Power tuliyonayo ni 1400MW nationwide
wajinga sana hawa jamaakuna Wa Tanzania mmaku sana.. walishangilia bwawa kukwama ila hao hao leo wanatumia umeme wa bwawa hilo