Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
..Rais hataki kukutana na wapinzani.
..Raisi pia hataki wapinzani wakutane ktk vikao na makongamano yao.
Kwa kweli awamu hii, lugha ya Kiswahili nayo itaneemeka sana kwa kuongeza misamiati, tulianza na "japo yameregea..", tukaja "wanademka", sasa "chambuka chambuka", na wewe Mkuu Wakudadavuwa , leo umetuongezea msamiati wa "wapingapi"...Wapingapi "mmechambuka chambuka sana"
Acha uzezeta hapa.Rais hajakataa kukutana na wapinzani, tatizo ni pale CDM wanapotaka kuhodhi upinzani TZ. Rais anataka akutane na vyama vyote vya upinzani vikiwemo hivyo mnavyovidharau, ila ninyi ndugu mnasema hatuwezi kukaa na CCM B pamoja na kila aina ya kejeli. Hilo suala la pili naamini kama mkikutana na Mama mtaliweka sawa.
Unaongea vitu vya kufikirika, tayari ubongo wako umeshaamini hayo unayoamini, endelea kuyaaminiAcha uzezeta hapa.
Sio kila chama tofauti na CCM ni chama cha upinzani, vipo vingi sana ni vyama vya upambe wa CCM, na havina hadhi ya kuitwa vyama vya upinzani, havipingi chochote dhidi ya CCM. Rais kukutana navyo ni kutaka kutughalai.
Sote tunajua, upinzani kwa sasa unabebwa na CHADEMA, na Rais anapotakiwa kukutana na wapinzani inamaana akutane na upinzani unaongozwa na CHADEMA. Tofauti na hapo ni upuuuzi mtupu.
Kwanini Samia anaogopa kukutana na CHADEMA?
Kwanini Samia anaogopa wafuasi wa CHADEMA kukutana?
Mbona tumerekebisha hati ya mashitaka!! Kwa sasa ni uhujumu uchumi, kufadhili vitendo vya ugaidi, kukutwa na silaha kinyume cha sheria, na kukutwa na nguo za jei dabliu tiizedi.Hamuogopi 'gaidi' Mbowe atalipua hio miundo mbinu?
Hahahaya sisi tumeraraaamooo acha watuamsheHii mihindi na miarabu inatuharibia nchi
Wawape tu bongo longo longo nyingi wanataka performance kwa maslai kiduchuInawezekana ikawa uendeshaji wa reli yenyewe, kama wachina wanavyoendesha ile ya Kenya.
We uoni anavyoilipua ccmMbona tumerekisha hati ya mashitaka!! Kwa sasa ni uhujumu uchumi, kufadhili vitendo vya ugaidi, kukutwa na silaha kinyume cha sheria, na kukutwa na nguo za jei dabliu tiizedi.
Tuligundua tulichemka kutumia neno "GAIDI" maana Gaidi siyo mtu wa mchezo mchezo! Gaidi anakuripua tu dk 0!
Unawaamini Mkuu? Si unakumbuka wale wamalaysia waliokuwa wajenge Disney Park Simiyu?..Na reli ya sgr kwa mikoa ya kusini.
..reli hiyo itafika mpaka ulipo mradi wa chuma na makaa.
..Elsewedy ndio watakaojenga na kuendesha reli hiyo, kama nimemuelewa vizuri waziri wa uwekezaji.
..kiwanda cha mbolea kitakuwa ni sehemu ya mradi wa gesi asilia.
kwa sababu Rais ni muislamu? Mbona wakati MAgufuli alipo wapa contract ya Bwawa hamkusema kitu?Waarabu ndo shanogewa hivyo.
Inawezekana wamekwishapata kiunganishio mahususi.
πππ Sikua nimejua Kama amebadilishiwa mashitaka mkuuMbona tumerekisha hati ya mashitaka!! Kwa sasa ni uhujumu uchumi, kufadhili vitendo vya ugaidi, kukutwa na silaha kinyume cha sheria, na kukutwa na nguo za jei dabliu tiizedi.
Tuligundua tulichemka kutumia neno "GAIDI" maana Gaidi siyo mtu wa mchezo mchezo! Gaidi anakuripua tu dk 0!
Mwananchi unataka upate nini wewe kama wewe?Acha watu wawekeze wewe kama umeshindwa kujitafutia ugali,serikali kamwe haiwezi kukupa.Ukitaka kuona ubabaishaji ulivyo, anza funzo la kwanza hapo kwa huyo waziri.
Hiyo zungumza yake tu anakuonyesha wazi kwamba hakuna kitu anachokiamini wala kukielewa. Anajivimbisha tu na kukaza sauti, lakini hajui na wala jali lolote kuhusu matokeo ya hayo anayoyasimulia hapo kwa taifa analolitumikia.
Hawa ndani ya serikali hii wamekwishaamua kuiuza nchi hii kwa vipande vya shaba, bila kujali watakacho kiambulia wananchi.
Wanataka pia kuwekeza kwenye reli? Sisi tz tusikubali reli binafsi hata treni binafsi. Wawekeze kwenye maeneo kufuatana na mpango wetu sio wao...nisiongeze wala kupunguza maneno.
..kampuni ya Elsewedy ya Misri kuwekeza ktk miradi mbalimbali mikubwa hapa Tz.
About Us - Elsewedy Website
Elsewedy Electric is a world leader in products and services for energy, digital and infrastructure. We specialise in Engineering, Procurement & Construction (EPC) projects that deliver maximum efficiency and sustainability.www.elsewedyelectric.com
Kuna tatizo lolote wakiwekeza kwenye reli binafsi? Kama wanajenga kwa hela yao, sie tunawatoza kodi na kuingiza mapato shida iko wapi?Wanataka pia kuwekeza kwenye reli? Sisi tz tusikubali reli binafsi hata treni binafsi. Wawekeze kwenye maeneo kufuatana na mpango wetu sio wao.
Haha mzee sasa wewe una ushahidi upi kwamba anasemaga hivyo? Pili baraza la mawaziri linakua na agenda na anaziandaa katibu mkuu kiongozi wanakua na rais wameshafanya maamuzi pale wanaenda kujadiliana kwa pamoja kila mtu atoe mchango wake ili zile ajenda ziweze kuwa na manufaa zaidi, kwenye baraza la mawaziri huwa hawaulizi wizara hii mmejipangaje huwa kuna ajenda maalumu"Haya nendeni mkateleze hayo mlosema"
Kwenye mahojiano na Kikeke alisema alikuwa anasubiri vyama vya siasa vijipange, na sasa kataarifiwa vimejipanga hivyo atakutana nao soon! Nafikiri kikao hicho ndicho kinapaswa kutumiwa na wapinzani kutoa nyongo zao. CDM nao waache arrogance, waende wakaudhurie kikao na wenzao, hii mambo ya kusema hawawezi kukaa na TLP meza moja inabomoa na si kujenga
Kuna tatizo lolote wakiwekeza kwenye reli binafsi? Kama wanajenga kwa hela yao, sie tunawatoza kodi na kuingiza mapato shida iko wapi?
Wanataka pia kuwekeza kwenye reli? Sisi tz tusikubali reli binafsi hata treni binafsi. Wawekeze kwenye maeneo kufuatana na mpango wetu sio wao.