DOKEZO Kampuni ya EROLINK ni wababaishaji, wanawanyonya vijana waliowaajiri

DOKEZO Kampuni ya EROLINK ni wababaishaji, wanawanyonya vijana waliowaajiri

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Kayla kang

Member
Joined
Mar 14, 2024
Posts
5
Reaction score
10
Habari,

Kwa yeyote anaeifahamu kampuni ya kuchukua tenda na kuingia ubia na baadhi ya makampuni hapa nchini kwa lengo la kuwa recruit na kuwapatia hayo makampuni wafanyakazi yakiwemo Tigo, Vodacom, TANESCO na Dawasa yaani EROLINK wamekuwa wababaishaji kwenye kuwalipa vijana ambao wamekuwa wahanga wa ajira.

Wanaajiri kila siku na kila siku watu wanaacha kazi, mbaya zaidi hawaweki pesa za waajiriwa kwenye mfuko wa pensheni yaani NSSF, hii imekuwa kero sana kwa wafanyakazi wao, nimepata habari kuwa mpaka leo tarehe 11 September mishahara yao haijaingia nà hawana jibu kamili juu ya hili

Nawasihi tuwasaidie vijana wetu wanaoteseka na hizi kampuni ambazo ni za kibabaishi.
 
Pole mkuu kwani imekuaje
Habari,

Kwa yeyote anaeifahamu kampuni ya kuchukua tenda na kuingia ubia na baadhi ya makampuni hapa nchini kwa lengo la kuwa recruit na kuwapatia hayo makampuni wafanyakazi yakiwemo Tigo, Vodacom, TANESCO na Dawasa yaani EROLINK wamekuwa wababaishaji kwenye kuwalipa vijana ambao wamekuwa wahanga wa ajira.

Wanaajiri kila siku na kila siku watu wanaacha kazi, mbaya zaidi hawaweki pesa za waajiriwa kwenye mfuko wa pensheni yaani NSSF, hii imekuwa kero sana kwa wafanyakazi wao, nimepata habari kuwa mpaka leo tarehe 11 September mishahara yao haijaingia nà hawana jibu kamili juu ya hili

Nawasihi tuwasaidie vijana wetu wanaoteseka na hizi kampuni ambazo ni za kibabaishi.
 
Habari,

Kwa yeyote anaeifahamu kampuni ya kuchukua tenda na kuingia ubia na baadhi ya makampuni hapa nchini kwa lengo la kuwa recruit na kuwapatia hayo makampuni wafanyakazi yakiwemo Tigo, Vodacom, TANESCO na Dawasa yaani EROLINK wamekuwa wababaishaji kwenye kuwalipa vijana ambao wamekuwa wahanga wa ajira.

Wanaajiri kila siku na kila siku watu wanaacha kazi, mbaya zaidi hawaweki pesa za waajiriwa kwenye mfuko wa pensheni yaani NSSF, hii imekuwa kero sana kwa wafanyakazi wao, nimepata habari kuwa mpaka leo tarehe 11 September mishahara yao haijaingia nà hawana jibu kamili juu ya hili

Nawasihi tuwasaidie vijana wetu wanaoteseka na hizi kampuni ambazo ni za kibabaishi.
Pole mkuu
 
Back
Top Bottom