Bolded and underlined.Jitahidi ukipata pesa wekeza kwenye biashara inayoonekana kwa macho,simamia mwenyewe ,usimwamini mtu kwenye suala la pesa..
Kuna dada mmoja mjini naye anaitwa nicole yule mwenye takooo kubwa kawapiga watu mambo ya upatu 😄Nikikumbuka kuna mtu aliweka 60M LBL ndio naamini hii nchi ujinga bado mwingi sana.