Kutaka hela za haraka. Wao wana uwekezaji gani hadi wakupe faidi hiyo kwa siku? Ngoja watu wapigwe. Wanatuona wajinga tulioweka UTT na kupata faida kidogo kidogoKama mwekezaji unatakiwa kuriski sana ili upate zaidi. Hapo kwenye milioni moja faida kila siku ni shilingi 25000/-
Kwa siku kumi ni laki mbili na nusu.
Mwezi ni 750000/-
Mtaji wako unabaki vilevile hauguswi hata kidogo.
Pesa za kudownlod hoye
Unyumbu mwingiHivi kwanini hatupendi kujifunza, wamepita kina deci na wengineo, lakini bado hatujifunzi...wajinga ndiyo waliwao
Wanazaa zaidi ya ndezi. Vya kurithi vinazidi.Ndezi hawawezi kuisha kwa sababu Ndezi wanazaa Ndezi
ccm itashinda miaka yoteWatu wa hivi ndio sbb y ccm kushinda chaguzi.
Gavana wa Benki Kuu: Shughuli zote za Upatu ni haramu, tunawaonya wanaowaibia Wananchi
Serikali imetoa onyo kuhusu shughuli za upatu, ambapo Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dkt. Emmanuel Tutuba, amesema kwamba mtu yeyote anayeshiriki katika upatu kwa kukusanya fedha ili kuzigawa kwa wachache, huku akidai kuwa lengo ni kuvutia watu kuleta fedha zao bila kuwa na biashara halali ya...www.jamiiforums.com
Imeisha iyo, na ibaki kama ulivyosema.Kampuni ya FIC Imenitapeli β Naombeni Ushauri
Ndugu wanajamii,
Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.
Naomba ushauri wenu:
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.
- Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
- Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
- Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Asanteni.
Kampuni ya FIC Imenitapeli β Naombeni Ushauri
Ndugu wanajamii,
Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.
Naomba ushauri wenu:
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.
- Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
- Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
- Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Asanteni.
Kwani hivi wabongo mbona tunatapeliwaga ki...........a sana.Kampuni ya FIC Imenitapeli β Naombeni Ushauri
Ndugu wanajamii,
Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.
Naomba ushauri wenu:
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.
- Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
- Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
- Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Asanteni.
Hela ya kudaunlodi tamu sana hamna mtu mvivu yeyote asiyeitamani hio aina ya pesa.Hivi kwanini hatupendi kujifunza, wamepita kina deci na wengineo, lakini bado hatujifunzi...wajinga ndiyo waliwao
ππππππππππKuna jirani alifuga sungura, wakafika Mia tano, soko hakuna, aliamua kuwafungulia na kuwafukuza usiku, asubuhi mtaa mzima umejaa sungura!