Kampuni ya FIC imenitapeli. Naombeni Ushauri

Watu wa hivi ndio sbb y ccm kushinda chaguzi.

 
Kama mwekezaji unatakiwa kuriski sana ili upate zaidi. Hapo kwenye milioni moja faida kila siku ni shilingi 25000/-
Kwa siku kumi ni laki mbili na nusu.
Mwezi ni 750000/-
Mtaji wako unabaki vilevile hauguswi hata kidogo.


Pesa za kudownlod hoye
Kutaka hela za haraka. Wao wana uwekezaji gani hadi wakupe faidi hiyo kwa siku? Ngoja watu wapigwe. Wanatuona wajinga tulioweka UTT na kupata faida kidogo kidogo
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£
 
ccm itashinda miaka yote
 
Imeisha iyo, na ibaki kama ulivyosema.
 

Wenzenu huko Ulaya, wanacheza sana hiyo michezo lakini kwa hela za ziada. Gamble what you can afford to loose! Huku Bongo mtu anakipato cha kuunga unga eti naye anajiingiza huko; sasa akiliwa ana kuja huku kulia lia eti asaidiwe....Kwa kipato chako pengine ulitakiwa ucheze kwa shs 5,000 tu., nani kakutuma ukacheze kwa milioni na hela zenyewe unaokoteza.....
CHEZENI HIYO MICHEZO KWA HELA NDOGO, UKIPATA SAWA, UKIKOSA BASI... NDIVYO ULAYA WANAVYOFANYA!
 
Hakuna njia yoyote rahisi ya kujipatia kipato!! haya ndiyo madhara yake.
 
Watu wameongea humu mpaka midomo imekauka au mpaka waongelee matakoni ndio muelewe.Tena sasa hivi muwe mnatapeliwa na kila mmoja atobolewe na spika yake.
 
Kwani hivi wabongo mbona tunatapeliwaga ki...........a sana.
Yaani ni aibu na huzuni kubwa.
Watu hawajifunzi TU kila siku kilio kile kile.
Nyerere alifanya makosa sana kuchukua uhuru wa kupewa mezani. Angepigana hata miaka mitano TU watu wangekuwa very sharp minded. Lakini sasa sisi ni wazito sana kwenye kufikiria.
 
Ndugu mtoa mada, nimefurahi sana kusikia ivo. Wakati mwingine ukitapeliwa tena usisite tena kushare na siti hakika ntafurahi sana
 
Hivi kwanini hatupendi kujifunza, wamepita kina deci na wengineo, lakini bado hatujifunzi...wajinga ndiyo waliwao
Hela ya kudaunlodi tamu sana hamna mtu mvivu yeyote asiyeitamani hio aina ya pesa.
 
Kuna jirani alifuga sungura, wakafika Mia tano, soko hakuna, aliamua kuwafungulia na kuwafukuza usiku, asubuhi mtaa mzima umejaa sungura!
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…