Zipo nyingi wabongo nao wameanzisha zingine
Sasa si angekula. πKuna jirani alifuga sungura, wakafika Mia tano, soko hakuna, aliamua kuwafungulia na kuwafukuza usiku, asubuhi mtaa mzima umejaa sungura!
ushapigwa ndugu bilioneaKampuni ya FIC Imenitapeli β Naombeni Ushauri
Ndugu wanajamii,
Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.
Naomba ushauri wenu:
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.
- Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
- Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
- Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Asanteni.
Waliotapeliwq ni wengi sana.. Hi yo pesa fanya kama umetoa sadakaKampuni ya FIC Imenitapeli β Naombeni Ushauri
Ndugu wanajamii,
Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.
Naomba ushauri wenu:
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.
- Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
- Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
- Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Asanteni.
FIC ni mwanaume na nusu aiseee yule ndo mbabee aliesepa na mpunga wa maana bila shidaa wala bugudhaaa wameliaa wengi sanaa huko kama ni hela kidogo bhasi 1bilion.
Wanalia kimya kimya , kwanza aliingia na mtaji , mnaijeria Yule kiboko, mwanzo akawapa pesa Ile waliyoweka wenyewe , akawavuta taratibutaratibu watu wakaongeza pesa wakajua unapata pesa umekaa, ajabu hii kuanzia mijini hadi vijijini watu wakaweka mamilioni na wengine walikopa benki kuwekeza huko baadae masharti yakaanza kua mnatoa kwa levels wakapangiwa makundi , kilichowakuta ni kumbukumbu isiyofutika kwenye akili zao, hua tunasema ukiona umetapeliwa fahamu aliyekutapeli anakushinda uwezo wa akili kwa mbali sanaFIC ni mwanaume na nusu aiseee yule ndo mbabee aliesepa na mpunga wa maana bila shidaa wala bugudhaaa wameliaa wengi sanaa huko kama ni hela kidogo bhasi 1bilion.
Kuna mtu aliweka 54mil akapewa 1mil aisee ule ujingaa acha tuu wengi wameumia paleMlitake risk nadhani sasa mmeshakua mabilionea
Tushituane ikija kampuni nyingineF. I. C wamesepa na mzigo, ije Ponzi nyingine tena mtajirike usikate tamaa dawa ya moto ni moto
Wamejionea kiwango chao cha akili kwa sasa wako level gani katika kufikiriKuna mtu aliweka 54mil akapewa 1mil aisee ule ujingaa acha tuu wengi wameumia pale
Pole sana mkuu, hili liwe somo Kwa wale ambao hawajatumbukia huku.Kampuni ya FIC Imenitapeli β Naombeni Ushauri
Ndugu wanajamii,
Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.
Naomba ushauri wenu:
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.
- Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
- Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
- Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Asanteni.
Yanii hii ya FIC hata wasomi wameingia king kirahisi sanaa..maana ilikuja kwa mfumo wa betting π π πWamejionea kiwango chao cha akili kwa sasa wako level gani katika kufikiri
Tena hii wanaijeria wamepiga wengi kuliko hata lblYanii hii ya FIC hata wasomi wameingia king kirahisi sanaa..maana ilikuja kwa mfumo wa betting π π π
Kuna jamaa yangu yupo kigoma vijijin,hakuwa mtu wa betting wakat tupo chuo sasa nikashangaa ananiambia haya mambo ya F.I.C na alikuwa mpaka kaweka zaidi ya 2mil,Wanalia kimya kimya , kwanza aliingia na mtaji , mnaijeria Yule kiboko, mwanzo akawapa pesa Ile waliyoweka wenyewe , akawavuta taratibutaratibu watu wakaongeza pesa wakajua unapata pesa umekaa, ajabu hii kuanzia mijini hadi vijijini watu wakaweka mamilioni na wengine walikopa benki kuwekeza huko baadae masharti yakaanza kua mnatoa kwa levels wakapangiwa makundi , kilichowakuta ni kumbukumbu isiyofutika kwenye akili zao, hua tunasema ukiona umetapeliwa fahamu aliyekutapeli anakushinda uwezo wa akili kwa mbali sana