Kampuni ya FIC imenitapeli. Naombeni Ushauri

Kampuni ya FIC imenitapeli. Naombeni Ushauri

Baada ya bomu la LBL hili la FIC ndilo lilikuwa linafuata. Watu wanaibiwa kila siku na bado hawashituki wala kuelimika
 
Ili wajanja waweze ku survive lazima wajinga muwepo hivyo ndo nature inavyotaka
 
Us
Kampuni ya FIC Imenitapeli – Naombeni Ushauri

Ndugu wanajamii,

Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.

Naomba ushauri wenu:
  1. Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
  2. Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
  3. Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.

Asanteni.
ushapigwa ndugu bilionea
 
Kampuni ya FIC Imenitapeli – Naombeni Ushauri

Ndugu wanajamii,

Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.

Naomba ushauri wenu:
  1. Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
  2. Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
  3. Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.

Asanteni.
Waliotapeliwq ni wengi sana.. Hi yo pesa fanya kama umetoa sadaka
 
FIC ni mwanaume na nusu aiseee yule ndo mbabee aliesepa na mpunga wa maana bila shidaa wala bugudhaaa wameliaa wengi sanaa huko kama ni hela kidogo bhasi 1bilion.
 
FIC ni mwanaume na nusu aiseee yule ndo mbabee aliesepa na mpunga wa maana bila shidaa wala bugudhaaa wameliaa wengi sanaa huko kama ni hela kidogo bhasi 1bilion.
Wanalia kimya kimya , kwanza aliingia na mtaji , mnaijeria Yule kiboko, mwanzo akawapa pesa Ile waliyoweka wenyewe , akawavuta taratibutaratibu watu wakaongeza pesa wakajua unapata pesa umekaa, ajabu hii kuanzia mijini hadi vijijini watu wakaweka mamilioni na wengine walikopa benki kuwekeza huko baadae masharti yakaanza kua mnatoa kwa levels wakapangiwa makundi , kilichowakuta ni kumbukumbu isiyofutika kwenye akili zao, hua tunasema ukiona umetapeliwa fahamu aliyekutapeli anakushinda uwezo wa akili kwa mbali sana
 
Kampuni ya FIC Imenitapeli – Naombeni Ushauri

Ndugu wanajamii,

Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.

Naomba ushauri wenu:
  1. Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
  2. Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
  3. Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.

Asanteni.
Pole sana mkuu, hili liwe somo Kwa wale ambao hawajatumbukia huku.
 
Wanalia kimya kimya , kwanza aliingia na mtaji , mnaijeria Yule kiboko, mwanzo akawapa pesa Ile waliyoweka wenyewe , akawavuta taratibutaratibu watu wakaongeza pesa wakajua unapata pesa umekaa, ajabu hii kuanzia mijini hadi vijijini watu wakaweka mamilioni na wengine walikopa benki kuwekeza huko baadae masharti yakaanza kua mnatoa kwa levels wakapangiwa makundi , kilichowakuta ni kumbukumbu isiyofutika kwenye akili zao, hua tunasema ukiona umetapeliwa fahamu aliyekutapeli anakushinda uwezo wa akili kwa mbali sana
Kuna jamaa yangu yupo kigoma vijijin,hakuwa mtu wa betting wakat tupo chuo sasa nikashangaa ananiambia haya mambo ya F.I.C na alikuwa mpaka kaweka zaidi ya 2mil,
 
Tukiwambia hakunaga hela za ku download mnakuwa wakali ngoja kiwarambe Bado hao wa empowered consumerism 😂😂😂
 
Back
Top Bottom