Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo Maisha Sasa,ili uje kuwa mshauri mzuri na evidence kabisa ,mkiambiwa mnasema wivu Aya,hiyo inaitwa sepa na kijijikampuni
Inatakiwa ukamatwe ucharazwe viboko hadharani.Kampuni ya FIC Imenitapeli – Naombeni Ushauri
Ndugu wanajamii,
Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.
Naomba ushauri wenu:
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.
- Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
- Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
- Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Asanteni.
Waache tena wakati wameambiwa lazima warisk ili wawe mabilioneaLitakuja lingine mtajiunga tena 😂😂😂😂
LBL , FIC , PI huo ndio uwekezaji WA wabongo walitarajia kuvuna mabilioni huko inachekesha kweliKuna jamaa ofisini alijiunga LBL,ilivyomnogea akawa mda wa lunch anatupa hadi offer za vinywaji na chakula,ukimuuliza vipi anasema this is from LBL,sijui alikua ni group admin, akachukua hadi mkopo bank akafix huko, saa hizi ni kilio tu,
Yaani mpaka unaibiwa ndiyo unazinduka kutoka usingizini? Kazi kweli kweliKuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Kwanza nikupongeze kwa kuwa na mpambanaji kiasi cha kutafuta ma mahali pakuwekeza, hii isikuvunjemoyo wewe ni mpambanaji hodari, shujaa jabari.Kampuni ya FIC Imenitapeli – Naombeni Ushauri
Ndugu wanajamii,
Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.
Naomba ushauri wenu:
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.
- Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
- Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
- Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Asanteni.
Kampuni ya FIC Imenitapeli – Naombeni Ushauri
Ndugu wanajamii,
Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.
Naomba ushauri wenu:
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.
- Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
- Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
- Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
LIPUMBAVU jingine hili hapa, ukiwaambia haya maapp ni ya utapeli hua wabishiiiii kum@ la mamazao wakishaliwa ndio utaona wanaanza kuuliza maswali ya kisenge kama ati je kampuni imesajiliwa, ivi we mpumbavu kwanini haukujiuliza Hilo swali wakati unaweka hiyo pesa Yako ??!!Asanteni.
Mtaibiwa mpaka lini?Kampuni ya FIC Imenitapeli – Naombeni Ushauri
Ndugu wanajamii,
Nimejikuta katika hali ngumu baada ya kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 1 katika kampuni ya FIC, lakini sasa fedha hizo hazipatikani. Nimejaribu kutoa bila mafanikio, na sijapata majibu ya kuridhisha kutoka kwa kampuni husika.
Naomba ushauri wenu:
Ningependa kusikia mawazo na ushauri wenu ili kujua hatua gani zichukuliwe katika hali hii.
- Je, kuna mwanajamii mwingine aliyekutana na tatizo kama hili na FIC? Kama ndiyo, ulitatua vipi?
- Nini hatua sahihi za kuchukua katika hali kama hii? Je, ni vyema kuripoti kwa vyombo vya sheria au kuna njia nyingine za kutatua suala hili?
- Kuna taarifa zozote kuhusu uhalali wa kampuni ya FIC nchini Tanzania? Je, imesajiliwa rasmi na mamlaka husika?
Asanteni.
Post ya kingese sana hiiKama mwekezaji unatakiwa kuriski sana ili upate zaidi. Hapo kwenye milioni moja faida kila siku ni shilingi 25000/-
Kwa siku kumi ni laki mbili na nusu.
Mwezi ni 750000/-
Mtaji wako unabaki vilevile hauguswi hata kidogo.
Pesa za kudownlod hoye
Let's download moneyPost ya kingese sana hii