Kampuni ya GSM Ambao ni Wazalishaji na Wasambazaji wa Vifaa Vya Klabu ya Yanga Wameleta Jezi Aina ya Dela

TEAM 666

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
4,399
Reaction score
8,594
Ambazo Kwa Sasa Ziko Sokoni ,, Hili Linakuja Mara Baada ya Mashabiki wa Yanga Hususani Wanawake Kusema Kuwa Wao ni kama wanatengwa katika Jezi Kwani Wanahitaji Waletewe Madela Ikiwa kama Jezi Kwao Pindi Waendapo Viwanjani .

Kama Unakumbuka Mwanzoni Mwa Msimu Huu Vilabu vya Simba na Yanga Vilipokea Mapendekezo kutoka kwa Wanachama na Mashabiki wa Timu Hizo Kutengenezewa Madela .



VIPI UNAONAJE HUO MTOKO WA AKINA DADAA??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…