Kampuni ya GSM Ambao ni Wazalishaji na Wasambazaji wa Vifaa Vya Klabu ya Yanga Wameleta Jezi Aina ya Dela

Kampuni ya GSM Ambao ni Wazalishaji na Wasambazaji wa Vifaa Vya Klabu ya Yanga Wameleta Jezi Aina ya Dela

Njemba moja alisikika akiuliza hii si naweza kwenda nayo msikitini kusali au ni noma? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Ambazo Kwa Sasa Ziko Sokoni ,, Hili Linakuja Mara Baada ya Mashabiki wa Yanga Hususani Wanawake Kusema Kuwa Wao ni kama wanatengwa katika Jezi Kwani Wanahitaji Waletewe Madela Ikiwa kama Jezi Kwao Pindi Waendapo Viwanjani .

Kama Unakumbuka Mwanzoni Mwa Msimu Huu Vilabu vya Simba na Yanga Vilipokea Mapendekezo kutoka kwa Wanachama na Mashabiki wa Timu Hizo Kutengenezewa Madela .

View attachment 1647532

VIPI UNAONAJE HUO MTOKO WA AKINA DADAA??
Kibishara ni idea nzuri sana ila designing kidogo wamekwama hasa muendelezo wake kuelekea chini mi nilizani wangeyatengeneza kufanania miili ya kina Dada pia kule chini wasingeweka flat kama yalivokaa
 
Back
Top Bottom