Kampuni ya Kenya yanunua kiwanda cha Tanzania

Kampuni ya Kenya yanunua kiwanda cha Tanzania

Rais Magufuli amesema yupo tayari kuibadilisha nchi yake iwe ya viwanda, makampuni ya Kenya yachangamkie hii fursa maana kweli nia anayo, tatizo ni jinsi ya kutekeleza. Akikutana na watu wanaomaanisha na wenye nia kama yake atawapokea.

Tuwekeze kote kote, ile nchi bado ina raslimali nyingi sana.

===============================================

Catalyst Principal Partners, a Kenyan private equity firm, has bought a controlling stake in Tanzanian pharmaceutical company Zenufa Laboratories. The acquisition of Zenufa is Catalyst’s fourth investment in Tanzania and second investment in the healthcare sector. In 2014, it acquired Kenya’s Mimosa Pharmacy, which was later rebranded Goodlife Pharmacy and has rolled out across the region.

The $125 million (Sh12.5 billion) private equity firm is making waves in the big boys’ investment club, which is currently dominated by players like Centum Investment, by pumping in millions of dollars into the region’s high-potential businesses. Zenufa manufactures over-the-counter and prescription drugs for the Tanzanian market. Its brands include Zenadol, Zenkof, Zn-vital and Dr Cold. “We are going to restructure Zenufa’s board and also bring in an expatriate as the new CEO.

We are also going to change the way Zenufa approaches the market by working with the Tanzanian government to supply public hospitals with drugs. Previously, the company only supplied private pharmacies,” Catalyst Investment Manager Martha Osier said. The main challenge Zenufa faced before Catalyst bought into it, Ms Osier said, was a poor marketing strategy and lack of capital. The company, however, has a fairly healthy balance sheet and is profitable.
Read more at: Kenyan firm buys Tanzanian drugs manufacturer
This is good news

My dream is buy one factory in Tz

Hongereni wanunuaji
 
Kitu kimoja waTz mjue kampuni mengi kutoka Kenya yakijaga TZ kununua au kufugua office sio mali ya wakenya wazawa. Mara nyingi zinakuwa kambuni tanzu kutoka kampuni nyingine kubwa za nchi nyingine. Wasiwatoe povu kwa vitu ambavyo siyo vyao.
 
Lakini hizo ni signs za kwa road, have you visited them to ascertain their origin?
Hapo Taita Taveta... wanaongoza kwa kubaka kuku na mbuzi kwa imani za kishirikina. Mabango yamewekwa kila sehemu.

BTW hii wanawake wa kenya kuwatwanga wanaume mpaka kukata korodani zao... ni imani ya kishirikina au wanaume wa kenya wamezidiwa nguvu??
 
In kenya no one know anything about tanzania we only know magufuli kikwete and mkapa


But ask any tanzania

Who is Duale and what position does he hold and where does he rep? They will tell you

Ask them who is ruto they will tell you
Kidero
Joho
Kuria

They live and eat kenya this people i dont know any tanzanian apart from Magufuli Diamond Alikiba Vanessa mdee(who has lived in kenya for 10yrs with Namtero ) and probably few othe musicians

The only things we know about Kenya is Nairobi and Mombasa town.The other thing we know is ugly and aggressive Kenyans women who slap their men/husband. However, I offer you a completely fair question: who the hell exactly are these people? Despite how weird these names look, it’s weird that Kenyan people think we know much about Kenya.Between 20 Tanzanian only six will tell the real name of Kenyan President the rest will name Daniel Arap Moi as Kenyan president.
 
Whatever statement makes you sleep well tonight! Post it!

We know otherwise !

Angalia tu watanzania wanao angalia masuala hapa Kenya news section and i think otherwise


Console urself with that but for me its true i dont know any one else on the tanzanian govemt but i bet every one in Dar knows kenya ambasador to TZ
So this is how Kenyans tell each other? or your medias/politicians/ambassador tells you? it is totally bu****shit.I even don't know where the hell Kenyan Embassy is located here in TZ.
 
Kumbe kuna channel inaitwa Citizen? Ni ya katuni au??
Yaani ukienda kwenye forum zao utashangaa fantasy zao na wanavyojipa matumaini eti tunajua sana kuhusu Kenya.Lbda wao EATV na AZAM TV ndio zinakimbiza huko kwao.
 
Nadhani wakenya wapuuzi puuzi wanaoandika humu wana wivu wa kike tu TZ inashirikiana na wakenya vizurii na hata hiko kiwanda walichonunua kuna mazingira mazuri tu yametengenezwa faida kubwa itabaki tz zaidi ya yote tunawaajiri katika hoteli zetu na wanaleta sana wateja wa nje hawa wapige kelele serikali yao iwasomeshe vizurii sisi tuwatumie
 
Yeah says a person from a country that is 50% muslim 50% christian

Just look at nigeria am glad kenya is tribal

When war of religion starts ttibalism looks like childs play!!

Kenya will never have war of religions !!!


So dont remove speck in ur neighbours eye na uko na log kwa yako
Pumbavu mnaombea tupigane kama nyinyi!? hilo halitatoke kamwe kwa sabau kwenye mentality ya WA-TZ hakuna ujinga kama huo.
 
Hapo Taita Taveta... wanaongoza kwa kubaka kuku na mbuzi kwa imani za kishirikina. Mabango yamewekwa kila sehemu.

BTW hii wanawake wa kenya kuwatwanga wanaume mpaka kukata korodani zao... ni imani ya kishirikina au wanaume wa kenya wamezidiwa nguvu??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji33]
 
Pumbavu mnaombea tupigane kama nyinyi!? hilo halitatoke kamwe kwa sabau kwenye mentality ya WA-TZ hakuna ujinga kama huo.

Huyu chalii wa ajabu, ni nyang'au OG, nimemsoma kitambo sana. Akisikia Tz imelipuka atashangilia uchi. Nishamwambiaga dua la kuku kamwe halitompata mwewe. Tusiwalaumu sana lkn, nadhani wana matatizo mengi sana inabidi wanachannel hizo hasira mahali pengine. Juzi aliringishia zile energy drinks za azam ndio bidhaa bora kapata nunua from Tz. Niga doesn't want to sleep, imagine de stress...
 
Hapo Taita Taveta... wanaongoza kwa kubaka kuku na mbuzi kwa imani za kishirikina. Mabango yamewekwa kila sehemu.

BTW hii wanawake wa kenya kuwatwanga wanaume mpaka kukata korodani zao... ni imani ya kishirikina au wanaume wa kenya wamezidiwa nguvu??
Nguvu wapate wapi wanalala kwenye chang'aa na kushindia mudhokoli na milungi?!
 
In kenya no one know anything about tanzania we only know magufuli kikwete and mkapa


But ask any tanzania

Who is Duale and what position does he hold and where does he rep? They will tell you

Ask them who is ruto they will tell you
Kidero
Joho
Kuria

They live and eat kenya this people i dont know any tanzanian apart from Magufuli Diamond Alikiba Vanessa mdee(who has lived in kenya for 10yrs with Namtero ) and probably few othe musicians
Myself i know nothing about Kenya! I just hear that is one among E.A countries!!
 
Ningependa kujua wanahamisha Kiwanda ktk TZ yetu au kinabakia TZ?
Swali zuri sana hili, kiukweli ningekuwa mi ndo MK254 nisingeanzisha huu uzi, ni pigo kubwa sana kwa nchi moja kwenda fungua kiwanda nchi nyingine hasa hizi nchi zetu za afrika mashariki maana wafaidika wakubwa wa moja kwa moja mahali kiwanda kilipo. Najua jamaa alileta uzi akijua Kenya ina-win alafu Tz ina-lose, kumbe sivyo!
 
Swali zuri sana hili, kiukweli ningekuwa mi ndo MK254 nisingeanzisha huu uzi, ni pigo kubwa sana kwa nchi moja kwenda fungua kiwanda nchi nyingine hasa hizi nchi zetu za afrika mashariki maana wafaidika wakubwa wa moja kwa moja mahali kiwanda kilipo. Najua jamaa alileta uzi akijua Kenya ina-win alafu Tz ina-lose, kumbe sivyo!

barafuyamoto Tatizo lenu na kinachowasumbua mnaangalia kila kitu kiushabiki na ushindani. Leo hii makampuni ya Uingereza ndio yanaongoza kwa uwekezaji Bongo, ina maana Uingereza hainufaiki kwa chochote katika uzalishaji na faida. Hili ni suala la kunufaika sote, japo Bongo itanufaika zaidi, inafaa mchangamkie sio kueneza chuki na kulialia kwa majungu.

Naomba ukipata fursa kapige darasa kuhusu costs and benefits analysis of both home country and host country in FDI.
 
Back
Top Bottom